Mambo Jambo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 1,100
- 81
Heshima mbele wazee.
Kutokana na watu wengi kulalamika kukatiwa umeme jana wakati kituo cha ITV kinarusha matangazo ya moja kwa moja na mgombea kiti cha urais kutoka chama cha CHADEMA Dr W.P. Slaa, nashauri watu wote wanaoitakia mema Tanzania kwa kuwa vyama vya upinzani havina bajeti kubwa za kampeni basi itakuwa jambo jema kwa kituo cha ITV kurudia mdahalo ule (recorded version) next week na iwe kipindi cha jioni au usiku ili watanzania wengi waweze kuona na kusikiliza sera, dira na majibu ya moja kwa moja kutoka kwa Dr Slaa.
Naomba watu wenye mapenzi mema tuandike email ITV kuwaomba warudie mdahalo ule (recorded) nadhani wakipokea email nyingi wanaweza kulifanyia kazi na kuutangazia umma ni lini kipindi kitarudiwa.
Ili kufanikisha zoezi hili tuma email kwenda:- info@itv.co.tz
Mimi wa wife tumekwisa tuma, kazi kwenu.
Taifa mbele vyama vya upinzani siyo adui.
MJ
Kutokana na watu wengi kulalamika kukatiwa umeme jana wakati kituo cha ITV kinarusha matangazo ya moja kwa moja na mgombea kiti cha urais kutoka chama cha CHADEMA Dr W.P. Slaa, nashauri watu wote wanaoitakia mema Tanzania kwa kuwa vyama vya upinzani havina bajeti kubwa za kampeni basi itakuwa jambo jema kwa kituo cha ITV kurudia mdahalo ule (recorded version) next week na iwe kipindi cha jioni au usiku ili watanzania wengi waweze kuona na kusikiliza sera, dira na majibu ya moja kwa moja kutoka kwa Dr Slaa.
Naomba watu wenye mapenzi mema tuandike email ITV kuwaomba warudie mdahalo ule (recorded) nadhani wakipokea email nyingi wanaweza kulifanyia kazi na kuutangazia umma ni lini kipindi kitarudiwa.
Ili kufanikisha zoezi hili tuma email kwenda:- info@itv.co.tz
Mimi wa wife tumekwisa tuma, kazi kwenu.
Taifa mbele vyama vya upinzani siyo adui.
MJ