Nicazius
Senior Member
- Feb 6, 2008
- 143
- 17
OMBI KWA VIONGZOZI WA CHADEMA AMBAO HAMJAKAMATWA, WANANCHI TUNASUBIRI NINI TUFANYE
Wananchi tulio wengi tunasubiria angalizo la nini tufanye ili kuionyesha CCM na Vibaraka wao kuwa tunauchungu na nchi hii na wala hatuko tayari kuona wananchi wakipingwa kwa mabomu, risasi za moto, virungu etc. ili kurudisha juhudi zetu nyuma...
Nchi hii si mali ya kikundi fulani au baadhi ya wananchi ambao ni watawala na wanachama wa CCM na mafisadi wao, na wala si nchi inayofuata utawala wa kiimra na kifalme, sipo tayari kama Mtanzania mzawa kuona nchi yangu ikipelekwa kule wao wapenda rushwa kubwa na ndogo, ufisadi wanataka.
Tafadhali viongozi mliopo nje bado hamjakamatwa tupeni mwelekeo nini tufanye, tupo tayari kwa lolote lile, tumechoka longo longo.
:angry:
Wananchi tulio wengi tunasubiria angalizo la nini tufanye ili kuionyesha CCM na Vibaraka wao kuwa tunauchungu na nchi hii na wala hatuko tayari kuona wananchi wakipingwa kwa mabomu, risasi za moto, virungu etc. ili kurudisha juhudi zetu nyuma...
Nchi hii si mali ya kikundi fulani au baadhi ya wananchi ambao ni watawala na wanachama wa CCM na mafisadi wao, na wala si nchi inayofuata utawala wa kiimra na kifalme, sipo tayari kama Mtanzania mzawa kuona nchi yangu ikipelekwa kule wao wapenda rushwa kubwa na ndogo, ufisadi wanataka.
Tafadhali viongozi mliopo nje bado hamjakamatwa tupeni mwelekeo nini tufanye, tupo tayari kwa lolote lile, tumechoka longo longo.
:angry: