Buswelu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 1,998
- 351
Habari za jioni Wana JF
Kwa wale ambao hamfahamu mwanakijiji zaidi ya kuandika mambo mengi ya kisiasa na kiuchumu ni mtunzi mzuri wa hadithi,mashairi..yanayo wenza kuwekwa kwenye Jukwaa la mahusiano na kuwa funzo na faraja kwa wasomaji...Tena anataja sehemu ambazo ukiwa unasoma unapata picha kamili ya eneo lile...
Mwaka 2006 ndio nilianza soma hadithi zake lakini kwa sasa sizioni tena kama ziko mpya..kama unaweza mwanakijiji please naomba uwe unatuwekea jamvini au tuwekee link ya moja kwa moja kwenye KLH new tuweze kuzi access ile ya awali ya pic & doc sasa naona haifanyi kazi..s
Sehemu ya member log in nayo haionekani..
Kwa wale ambao hamfahamu mwanakijiji zaidi ya kuandika mambo mengi ya kisiasa na kiuchumu ni mtunzi mzuri wa hadithi,mashairi..yanayo wenza kuwekwa kwenye Jukwaa la mahusiano na kuwa funzo na faraja kwa wasomaji...Tena anataja sehemu ambazo ukiwa unasoma unapata picha kamili ya eneo lile...
Mwaka 2006 ndio nilianza soma hadithi zake lakini kwa sasa sizioni tena kama ziko mpya..kama unaweza mwanakijiji please naomba uwe unatuwekea jamvini au tuwekee link ya moja kwa moja kwenye KLH new tuweze kuzi access ile ya awali ya pic & doc sasa naona haifanyi kazi..s
Sehemu ya member log in nayo haionekani..