ndiyomkuusana
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 666
- 421
MKURUGENZI (SSRA)
Nakuomba mkuu,usirudie tena kutumika na watawala kuwa kandamiza wananchi, tena ukandamizaji wamoja kwa moja .Nanukuu mahojiano yake Clouds Fm. "hata kama mtalalamika sheria hii haitabadilishwa,kinachosubiliwa ni miongozo" Chunga maneno yako ya mdomoni yatakuhukumu,Ungekuwa Muungwana Ungekuja Chanel Ten,Kwenye Mjadala,ulialikwa lakini Hukutokea. Uliona aibu na uliogopa Watanzania kuiona sura yako live.(wasije kukupeleka Mabwa pande)
Tulikuheshimu sana lakini tunaomba usirudie, Jaribu kumshauri Boss wako kabla ya Maamuzi.
WABUNGE(vyama vyote)
Naomba na nyinyi wabunge Kutuwakilisha kwenu Bungeni kusiwe ndio njia ya kutumika kutukandamiza niliongea na ZITTO na Mnyika kwenye Twitter , Walisema uchache wao bungeni ukafanya sheria hii ipite.Tunakiomba Chama ambacho kina wabunge wengi bungeni,kiwashauli wabunge wao sio kila kitu wasema Ndiyoooooooo,wajaribu kuangalia maslahi ya wananchi.
Sheria imerudishwa bungeni,Tunaomba wabunge mtumie busara zenu ,kufanya marekebisho haya bila kuangalia itikadi za chama,au dini.SISI SOTE NI WATANZANIA.tuamue pamoja kwa maslahi ya taifa na watu wake
AHSANTE
regards
Ndiyomkuusana.
Nakuomba mkuu,usirudie tena kutumika na watawala kuwa kandamiza wananchi, tena ukandamizaji wamoja kwa moja .Nanukuu mahojiano yake Clouds Fm. "hata kama mtalalamika sheria hii haitabadilishwa,kinachosubiliwa ni miongozo" Chunga maneno yako ya mdomoni yatakuhukumu,Ungekuwa Muungwana Ungekuja Chanel Ten,Kwenye Mjadala,ulialikwa lakini Hukutokea. Uliona aibu na uliogopa Watanzania kuiona sura yako live.(wasije kukupeleka Mabwa pande)
Tulikuheshimu sana lakini tunaomba usirudie, Jaribu kumshauri Boss wako kabla ya Maamuzi.
WABUNGE(vyama vyote)
Naomba na nyinyi wabunge Kutuwakilisha kwenu Bungeni kusiwe ndio njia ya kutumika kutukandamiza niliongea na ZITTO na Mnyika kwenye Twitter , Walisema uchache wao bungeni ukafanya sheria hii ipite.Tunakiomba Chama ambacho kina wabunge wengi bungeni,kiwashauli wabunge wao sio kila kitu wasema Ndiyoooooooo,wajaribu kuangalia maslahi ya wananchi.
Sheria imerudishwa bungeni,Tunaomba wabunge mtumie busara zenu ,kufanya marekebisho haya bila kuangalia itikadi za chama,au dini.SISI SOTE NI WATANZANIA.tuamue pamoja kwa maslahi ya taifa na watu wake
AHSANTE
regards
Ndiyomkuusana.