NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Kosa kubwa baba wa Taifa alilofanya ni kutokuandaa viongozi wenye fikra na mitizamo kama yake na ndio maana wengi waliomfuata wamevuruga vuruga.
Dr. Na Mnyika naona kama viongozi wa class ya pekee kwa taifa hili naomba mniandae na mimi kuwa kama nyie na vijana wengine ambao wana wito wa kuwa kiongozi wa watu na sio tumbo zao, "Political Mentor"
Natumaini ombi langu mtalifanyia kazi.
Heri ya mwaka mpya 2012 niko kisiasa zaidi.
Dr. Na Mnyika naona kama viongozi wa class ya pekee kwa taifa hili naomba mniandae na mimi kuwa kama nyie na vijana wengine ambao wana wito wa kuwa kiongozi wa watu na sio tumbo zao, "Political Mentor"
Natumaini ombi langu mtalifanyia kazi.
Heri ya mwaka mpya 2012 niko kisiasa zaidi.