Maxence Melo
JF Founder
- Feb 10, 2006
- 4,230
- 13,415
Wakuu,
Kwa wale ambao wapo Dar es Salaam, tunaomba wanaoweza kujitolea na kushirikiana nasi kwenye uangalizi wa uchaguzi tuwasiliane ili tuweze kuifanya kazi hii kwa ushirikiano na kwa ufanisi zaidi.
Kituo kitakuwa LHRC (Kijitonyama) na tunaweza kuwapa training ya haraka kwa siku ya Ijumaa na Jumamosi kabla ya kufanya shughuli yenyewe rasmi siku ya Jumapili.
Walio tayari wanaweza kuwasiliana nami kupitia:
maxence.melo@jamiimedia.com au +255 713 444 649
Shukrani
Kwa wale ambao wapo Dar es Salaam, tunaomba wanaoweza kujitolea na kushirikiana nasi kwenye uangalizi wa uchaguzi tuwasiliane ili tuweze kuifanya kazi hii kwa ushirikiano na kwa ufanisi zaidi.
Kituo kitakuwa LHRC (Kijitonyama) na tunaweza kuwapa training ya haraka kwa siku ya Ijumaa na Jumamosi kabla ya kufanya shughuli yenyewe rasmi siku ya Jumapili.
Walio tayari wanaweza kuwasiliana nami kupitia:
maxence.melo@jamiimedia.com au +255 713 444 649
Shukrani