Wakuu wetu wengi wamekuwa wakikabiliwa na maradhi mbalimbali na kupelekwa India kwa matibabu zaidi baada ya hospitali zetu za hapa nchini kushindwa.Wapo wengi toka siku za nyuma na mpaka hivi karibuni wamepelekwa akina Prof Mwandosya,Dr Mwakyembe,Chami ,Zitto Kabwe na wengineo.Ingekuwa vizuri huduma hiyo ikaletwa nchini kuepukana na huo usumbufu na gharama lukuki.Ni wazo tu.