Ombea wajawazito usku wa leo!!!!!amka usilale

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,949
22,107
Kama unamwamini Mungu usiku waleo
amka ombea sana wajawazito walioko mahospitalini wakisubiri kujifungua'shetan
ameanzisha vita na wajawazito akitaka kuondoka na watoto na mama zao hasa katika
wakati wa ujauzito..ombea sana pepo wa operation mahospitalini asilimia 50 ya wanwake wanaoletwa wodini wanaishia kufanyiwa operation si mapenzi ya mungu kabisa
Naamaanisha ombea wajawazito na watoto waliozaliwa ...shetan ameanzisha vita ambayo atasarenda mwenyewe ukiwa kama ulieitwa na bwana usiache pia
KUOMBEA WODI ZA WAZAZI MAHOSPITALIN KUNA MAMBO MENGI YANAFANYIKA MUNGU AKAWAHIFADHI WALE WATOTO WANAOTUNZWA NA MA NURSE WASIOFIKISHA SIKU ZAO...MUNGU AKAWAPE IMANI YA UPENDO WALE MA NURSE WANAOPIGWA MBU NA KUISHIA NA ALLOWANCE SI ZAIDI YA 100,000 KWA MWEZI..,,.WAOMBEE SERIKALI WAWAKUMBUKE KATIKA KILA ONGEZEKO LA MISHAHARA WATU HAWA WANAFANYA KAZI MAZINGIRA MAGUMU SANA IMAGINE CHUMBA CHA WATOTO WASIOFIKISHA SIKU NURSE 3 KINA WA WATOTO 100 NI NEEMA YA MUNGU WAKO KUKUMBUKWA NA HAWA NDUGU..HAWA HAWA WANAITAKILA MTOTO KUMWANGILIA KAJISAIDIA WAMSAFISHE..MUNGU AWAPE ROHO YA UPENDO NA KAMA UNABARIKIWA PELEKA BARAKA ZAKO KWA HAWA WATU,..MUNGU AWAONGEZE MADAKTARI WA WATOTO NI WACHACHE SANA NA INAFIKA DK MMOJA ANAHUDUMIA WAWATOTO 90/100 WD MOJA HII NI UASI MUNGU AWABARIKI NINYI MA DK WACHACHE MUNGU AWAPE ONGEZEKO LA MSHAHARA KWA JINSI MNAVYOPIGANA KUOKOA ROHO ZA WATU NA KUTULETEA WATOTO DUNIANI

MUNGU ANASEMA USIKU WALE KAMA UNA NDUGU AMA RAFIKI ALIE HOSPITALA AKISUBIRI KUJIFUNGUA ATUBU KAMA ALIWAHI KUSEMA MUNGU NAKUACHIA LOLOTE UFANYE AMA KWA KUJUA AMA KUONA ALIVYOKUWA AKISUMBULIWA NA PREHA AMA AKIONA WENZAKE WAKIONGOZANA KUPIGWA KISU ....USIKU WA LEO EWE MJAMZITO TUBU KATAA....UWE NA IMANI..IMAN NI KUWA NA UHAKIKA NA MAMBO YATARAJWAYO...USIKUBALI UKIKIRI SHETAN ANAAKAMATA KADI YAKO NDIPO MA PRESHA YANAPAMBA NA KUPAMBAZUKA KUMBE ULIMI WAKO......

MBARIKIWE

MUNGU AWA
 
Kama unamwamini Mungu usiku waleo
amka ombea sana wajawazito walioko mahospitalini wakisubiri kujifungua'shetan
ameanzisha vita na wajawazito akitaka kuondoka na watoto na mama zao hasa katika
wakati wa ujauzito..ombea sana pepo wa operation mahospitalini asilimia 50 ya wanwake wanaoletwa wodini wanaishia kufanyiwa operation si mapenzi ya mungu kabisa
Naamaanisha ombea wajawazito na watoto waliozaliwa ...shetan ameanzisha vita ambayo atasarenda mwenyewe ukiwa kama ulieitwa na bwana usiache pia
KUOMBEA WODI ZA WAZAZI MAHOSPITALIN KUNA MAMBO MENGI YANAFANYIKA MUNGU AKAWAHIFADHI WALE WATOTO WANAOTUNZWA NA MA NURSE WASIOFIKISHA SIKU ZAO...MUNGU AKAWAPE IMANI YA UPENDO WALE MA NURSE WANAOPIGWA MBU NA KUISHIA NA ALLOWANCE SI ZAIDI YA 100,000 KWA MWEZI..,,.WAOMBEE SERIKALI WAWAKUMBUKE KATIKA KILA ONGEZEKO LA MISHAHARA WATU HAWA WANAFANYA KAZI MAZINGIRA MAGUMU SANA IMAGINE CHUMBA CHA WATOTO WASIOFIKISHA SIKU NURSE 3 KINA WA WATOTO 100 NI NEEMA YA MUNGU WAKO KUKUMBUKWA NA HAWA NDUGU..HAWA HAWA WANAITAKILA MTOTO KUMWANGILIA KAJISAIDIA WAMSAFISHE..MUNGU AWAPE ROHO YA UPENDO NA KAMA UNABARIKIWA PELEKA BARAKA ZAKO KWA HAWA WATU,..MUNGU AWAONGEZE MADAKTARI WA WATOTO NI WACHACHE SANA NA INAFIKA DK MMOJA ANAHUDUMIA WAWATOTO 90/100 WD MOJA HII NI UASI MUNGU AWABARIKI NINYI MA DK WACHACHE MUNGU AWAPE ONGEZEKO LA MSHAHARA KWA JINSI MNAVYOPIGANA KUOKOA ROHO ZA WATU NA KUTULETEA WATOTO DUNIANI

MUNGU ANASEMA USIKU WALE KAMA UNA NDUGU AMA RAFIKI ALIE HOSPITALA AKISUBIRI KUJIFUNGUA ATUBU KAMA ALIWAHI KUSEMA MUNGU NAKUACHIA LOLOTE UFANYE AMA KWA KUJUA AMA KUONA ALIVYOKUWA AKISUMBULIWA NA PREHA AMA AKIONA WENZAKE WAKIONGOZANA KUPIGWA KISU ....USIKU WA LEO EWE MJAMZITO TUBU KATAA....UWE NA IMANI..IMAN NI KUWA NA UHAKIKA NA MAMBO YATARAJWAYO...USIKUBALI UKIKIRI SHETAN ANAAKAMATA KADI YAKO NDIPO MA PRESHA YANAPAMBA NA KUPAMBAZUKA KUMBE ULIMI WAKO......

MBARIKIWE

MUNGU AWA

keep it up PDIDY
saa nyengine unatuletea vitu vya maaana ila saa nyengine mmmh?!? au ndio sometimes yes...sometimes no..hehe he!
 
pepo ananijaribu
lakini wnaaishia kushindwa kwa jina la yesu....
 
Back
Top Bottom