Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,080
Mkuu kumleta mareehemu matonya kwenye jukwaa la siasa????????
Nadhani ban zimepungua siku hizi
Acha utumwa wa kiakili kwani Matonya sio mtu, wewe unataka msiba gani ndio uone sawa...kama ombaomba mbona hata CCM, Chadema wote ombaomba tu.
ndugu hebu nipe huo mstari niusome vizuri wa enock na elijah[/QUOTE]Sahihisho kidogo: Siyo kweli kwamba kila nafsi itaonja mauti!!! Enock na Elijah walichukuliwa kwenda mbinguni wakiwa hai hawakuonja mauti na siku Yesu mwana wa Mungu aliye hai atakaporudi wafuasi wake watakao kuwa hai siku hiyo hawatakufa bali watanyakuliwa mawinguni bila kuonja mauti. Believe in him who gives life, he came so that they may have life and have it more abundantly
RIP fellow ccm victim MATONYA
Sahihisho kidogo: Siyo kweli kwamba kila nafsi itaonja mauti!!! Enock na Elijah walichukuliwa kwenda mbinguni wakiwa hai hawakuonja mauti na siku Yesu mwana wa Mungu aliye hai atakaporudi wafuasi wake watakao kuwa hai siku hiyo hawatakufa bali watanyakuliwa mawinguni bila kuonja mauti. Believe in him who gives life, he came so that they may have life and have it more abundantly