Tukio la Kwanza:
Hii imetokea leo alfajiri: Dada anawahi kazini saa kumi na mbili maeneo ya Kijitonyama sayansi. Yeye ni Muajiriwa wa kampuni ya simu za mikononi maeneo ya Moroko na Drive Inn Cinema. Wakati wa kuvuka, gari likamkanyaga na kumvunja mguu mara mbili. MOI pamefungwa, Hospitali zote wanamshahuri aende huko Muhimbili au alipe milioni nne kasha apate tiba.
Tukio La Pili:
Kijana apata Ajali. Kikanyagio kinaning'inia. Kapelekwa Temeke Hospitali, wakamwambia kwamba aende Mwanyamala Hospitali. Mwananyamala wakasema hawawezi kumtibu wakamwambia aende MOI. MOI kumefungwa!
Wote wako kwenye dawa za kutuliza maumivu!
Ndugu zanguni tuombe Mungu sana janga hili lituepuke na serikali 'yetu' itatue hili suala la madaktari. Ni hatari na haichagui kipato .Madaktari na walimu wawezeshwe!! Na si EWURA, TRA, BOT, TCRA et al.
Hii imetokea leo alfajiri: Dada anawahi kazini saa kumi na mbili maeneo ya Kijitonyama sayansi. Yeye ni Muajiriwa wa kampuni ya simu za mikononi maeneo ya Moroko na Drive Inn Cinema. Wakati wa kuvuka, gari likamkanyaga na kumvunja mguu mara mbili. MOI pamefungwa, Hospitali zote wanamshahuri aende huko Muhimbili au alipe milioni nne kasha apate tiba.
Tukio La Pili:
Kijana apata Ajali. Kikanyagio kinaning'inia. Kapelekwa Temeke Hospitali, wakamwambia kwamba aende Mwanyamala Hospitali. Mwananyamala wakasema hawawezi kumtibu wakamwambia aende MOI. MOI kumefungwa!
Wote wako kwenye dawa za kutuliza maumivu!
Ndugu zanguni tuombe Mungu sana janga hili lituepuke na serikali 'yetu' itatue hili suala la madaktari. Ni hatari na haichagui kipato .Madaktari na walimu wawezeshwe!! Na si EWURA, TRA, BOT, TCRA et al.