Linyakalumbi
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 263
- 107
Halafu bila aibu bado anataka huyo huyo mfanya madudu ndio tumkabidhi ikulu yetu, huwa nashindwa kuelewa kabisa ubongo wa Pasco una category ngapi!!Ni kweli hapa madudu ni kuliko Richmond maana Waziri anaingilia TPA kama walivyofanya wenzake kuingilia Tanesco!!! Hahaaa!! Richmond kumbe ilikua mbaya Pasco?!! I like that!!! Hawakuonewa kumbeeee!!!
WAKATI Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitarajia kutoa tamko la kujiuzulu kwa mawaziri kadhaa, siri nzito zimeanza kufichuka baada ya Waziri wa Uchukuzi, Omar Nundu kumtupia kombora naibu wake, Mhandisi Athuman Mfutakamba.
Waziri Nundu, alimtuhumu hadharani naibu wake, kwa kile alichodai amekuwa akisafirishwa nje ya nchi na Kampuni ya Kichina ya China Construction Company (CCC) na kumpeleka sehemu mbalimbali kwa gharama zao, ikiwamo China na Equatorial Guinea na Mauritius.
Alisema kibaya zaidi, Mfutakamba amekuwa akiondoka bila kupata kibali kutoka kwake.
Akizungumza na wandishi wa habari mjini hapa leo, Waziri Nundu alisema ameamua kuweka bayana nini kiini cha matatizo ambayo anatuhumiwa kukiuka taratibu za kiutendaji.
Alisema bodi na viongozi wakuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), wakiungwa mkono na Mfutakamba, Katibu Mkuu, Omar Chambo na Kamati ya Bunge ya Miundombinu, kwa pamoja, wamemkalia kooni ili aachie ngazi, bila kujua chanzo ni nini.
Tunamshukuru Allah wote ni walewale,vinginevyo hadithi ingalikuwa nyengine hapa yarabi!Jakaya weye waokoe hawa
Tunamshukuru Allah wote ni walewale,vinginevyo hadithi ingalikuwa nyengine hapa yarabi!Jakaya weye waokoe hawa
WAKATI Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitarajia kutoa tamko la kujiuzulu kwa mawaziri kadhaa, siri nzito zimeanza kufichuka baada ya Waziri wa Uchukuzi, Omar Nundu kumtupia kombora naibu wake, Mhandisi Athuman Mfutakamba.
...
Alisema bodi na viongozi wakuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), wakiungwa mkono na Mfutakamba, Katibu Mkuu, Omar Chambo na Kamati ya Bunge ya Miundombinu, kwa pamoja, wamemkalia kooni ili aachie ngazi, bila kujua chanzo ni nini.
WAKATI Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitarajia kutoa tamko la kujiuzulu kwa mawaziri kadhaa, siri nzito zimeanza kufichuka baada ya Waziri wa Uchukuzi, Omar Nundu kumtupia kombora naibu wake, Mhandisi Athuman Mfutakamba.
Waziri Nundu, alimtuhumu hadharani naibu wake, kwa kile alichodai amekuwa akisafirishwa nje ya nchi na Kampuni ya Kichina ya China Construction Company (CCC) na kumpeleka sehemu mbalimbali kwa gharama zao, ikiwamo China na Equatorial Guinea na Mauritius.
Alisema kibaya zaidi, Mfutakamba amekuwa akiondoka bila kupata kibali kutoka kwake.
Akizungumza na wandishi wa habari mjini hapa leo, Waziri Nundu alisema ameamua kuweka bayana nini kiini cha matatizo ambayo anatuhumiwa kukiuka taratibu za kiutendaji.
Alisema bodi na viongozi wakuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), wakiungwa mkono na Mfutakamba, Katibu Mkuu, Omar Chambo na Kamati ya Bunge ya Miundombinu, kwa pamoja, wamemkalia kooni ili aachie ngazi, bila kujua chanzo ni nini.
U deserve my THANKS lakini kwa bahati mbaya kitufe sijakionaHapa hutawaona Rejao, Ritz1, KIM KARDASH, Mpemba Mbishi, Tume ya Katiba, Malaria Sugu, Faiza Fox, et al.
Kweli hii wizara ilipangwa, ikapangika - Kweli Mfumo X unafanya kazi yake ipasavyo. Hapa hutawaona Rejao, Ritz1, KIM KARDASH, Mpemba Mbishi, Tume ya Katiba, Malaria Sugu, Faiza Fox, et al.
Source ni mkutano wake na waandishi wa habari alioufanya leo hii mjini Dodoma saa 5 asubuhi ya leo
Hivi FF yuko wapi? au kanasa (mjamzito)?