Oman plans to privatise its existing power stations

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,607
1,744
Oman plans to privatise its existing power stations and invest RO3bn ($7.8bn) in new projects over the next six years, in a bid to boost the economy and reduce the budget deficit as electricity demand grows, Reuters has reported. 'The aim is to eventually sell, partly or wholly, government owned power stations to attract more international investors to the country,' Sheikh Abdulmalik al Hinai, Undersecretary at the Ministry of National Economy said. The private sector's participation will help reduce the government's deficit in the annual budget, he added.


Sasa hebu tuone ni vipi faida ya ubinafsishaji inavyoweza kupatikana hapa paliletwa Richmond,dowans na wenginetele ,matokeo yake ni wizi na mikataba isiyofungamana na serikali bali ni ya watu binafsi ambao wamepokea mapesa na kama haitoshi serikali inaendelea kula hasara kutokana na ubovu wa viongozi wa serikali ya CCM ,hadi leo hii walioingia mikataba hawajaguswa ,CCM haina uongozi bali una manyang'anyi.Hapo serikali imeshatangaza faida ya bilioni hata hawajabinafsisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom