Jamaani mnafiki ole aliwahi kusema jk kamanda wa kupambana vita ya ufisadi sasa hosea amenukuliwa na wikileaks anasema jk ndo kikwazo.hii imekaaje kwa olesendeka binafsi namshauri asijiite tena mpambanaji wa ufisad ni mnafiki mkubwa
Ole Sendeka ni msanii sana '' hivi wadau hamkumbuki siku ile ya kuchagua spika wa bunge alivyokuwa anakimbikimbia bungeni ili tu amuulize mabere marando swali!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.