Yaani! Ingekuwa ni miaka ile ya 19 kweusi mtu ataeleweka.Mwanamke au msichana wa miaka hii yenye UKIMWI na magonjwa mengine, mtu unapataje mimba tu? Mwanamke mwenye kujiheshimu hatajiachia kupata mimba ovyo ovyo....Ukiachwa au kukataliwa mimba ni halali yako.Hata ukinuna, haikusaidii maana jamaa anaangaza mbele na dua la kuku halimpati mwewe.Mimi ni mwanamke lakini jwa hili wala sioni huruma.Labda kama ni msichana mdogo sana kama wale JK aliosema wana kiherehere, au kama umebakwa ukapata mimba.
Wewe unayasema hayo as if ni halali yao wanaume kukimbia eti kisa mdada hakuvaa condom! Kama una mtoto wa kike na unasomesha, siku akibeba ujauzito alafu mwenye nao akaukana ndo utakapouona utamu wa mwanamme mwenzio!!
Kumekuwa na kijitabia kichafu tena cha siku nyingi kwa baadhi ya wanaume,kijitabia hiki ni cha kuwapa mimba mabinti na kuwakataa bila sababu za msingi,kwa mfano mtu mwingine anaweza kusema eti ana mchumba mwingine anaetaka kumuoa na siyo huyo mwenye ujauzito wake!!!!loooh hakuna neno linalouma kwetu wanawake kama hilo jamani, inaonyesha dhahiri hunithamini, hunipendi na wazi kabisa kuwa ulikuwa unanichezea...anyway malipo duniani,usipolipwa wewe basi utazaa mwanao na atafanyiwa hivyo,muwe wastaarabu jamani mkikutana na situation kama hii,majibu mengine yanaonyesha wazi kuwa ni jinsi gani huna busara na hekima wewe mwanaume usiye na hata tone la aibu, mimi ukinifanyia hivi naapa sitakusamehe daima na jua kumbuka na faham ya kuwa malipo ni hapa hapa duniani
Kweli inaumiza na inatesa, ila msamaha una faida kwako kuliko yule unayemsamehe,kwanini uishi na uchungu maisha yako yote?
Ukiwa na hasira hata huyo mtoto hutampenda....ulikosea kufanya mapenzi na mwanaume asiyekuwa na kiapo nawe,matunda ndo hayo....usimlaum yeye tu...unapaswa kujua ulipaswa kujilinda....Kukimbiwa/kuachwa na mwanaume aliyekupa mimba si mwisho wa maisha....tuna wanawake wengi tu mifano....ukianguka unasimama,unajipanga,unasonga mbele kwa umakini zaidi.
nna 22 yrs nna mtoto it just happened like that lakin wee thank god dogo copyright na mm..maana bila mama kusikia rumors sijui kama kwl leo hii ningekua proud as a dady to my beloved Georgette..tena wasichana mkome abortion,siongei kama mtt wa kishua ila dah..simply,nina bahati sana nina kazi nzuri sana niko chuo dah basi tu
muwe mnapima kwanza kina cha maji ndio mnajirusha...mwanaume kakutokea, kakupiga fix na vijihela mbuzi vyake, unaingia gia fasta - sasa unategemea nini? halafu, si kuna condom za kike, mbona hamzivai jamaniiiii kupunguza hizo incidences?
Kumekuwa na kijitabia kichafu tena cha siku nyingi kwa baadhi ya wanaume,kijitabia hiki ni cha kuwapa mimba mabinti na kuwakataa bila sababu za msingi,kwa mfano mtu mwingine anaweza kusema eti ana mchumba mwingine anaetaka kumuoa na siyo huyo mwenye ujauzito wake!!!!loooh hakuna neno linalouma kwetu wanawake kama hilo jamani, inaonyesha dhahiri hunithamini, hunipendi na wazi kabisa kuwa ulikuwa unanichezea...anyway malipo duniani,usipolipwa wewe basi utazaa mwanao na atafanyiwa hivyo,muwe wastaarabu jamani mkikutana na situation kama hii,majibu mengine yanaonyesha wazi kuwa ni jinsi gani huna busara na hekima wewe mwanaume usiye na hata tone la aibu, mimi ukinifanyia hivi naapa sitakusamehe daima na jua kumbuka na faham ya kuwa malipo ni hapa hapa duniani
Kama mimba ni yako alafu unajifanya kukimbia nikishajifungua nakuletea mtoto ofisini kwako namkabidhi boss wako kwamba ukija akupatie. kuna kaka alipmpa binti mimba alafu akawa anazungusha, binti alichofanya alimletea mtoto wa mwezi mmoja ofisini kwake mbona alienda kumbembeleza binti hadi leo ni mke na mume!! Hawa viumbe dawa yao ukishajifungua unampelekea alee. Najua inatia huruma kupeleka kiumbe cha mwezi lakin wanaume ukiwaendekeza wanatuonea sana sie wanawake. kama raha tulipata wote iweje leo matokeo ya raha uyakatae??
Kumekuwa na kijitabia kichafu tena cha siku nyingi kwa baadhi ya wanaume,kijitabia hiki ni cha kuwapa mimba mabinti na kuwakataa bila sababu za msingi,kwa mfano mtu mwingine anaweza kusema eti ana mchumba mwingine anaetaka kumuoa na siyo huyo mwenye ujauzito wake!!!!loooh hakuna neno linalouma kwetu wanawake kama hilo jamani, inaonyesha dhahiri hunithamini, hunipendi na wazi kabisa kuwa ulikuwa unanichezea...anyway malipo duniani,usipolipwa wewe basi utazaa mwanao na atafanyiwa hivyo,muwe wastaarabu jamani mkikutana na situation kama hii,majibu mengine yanaonyesha wazi kuwa ni jinsi gani huna busara na hekima wewe mwanaume usiye na hata tone la aibu, mimi ukinifanyia hivi naapa sitakusamehe daima na jua kumbuka na faham ya kuwa malipo ni hapa hapa duniani
Kumbe tusiotumia zana tuko wengi ee!
Umumunye pipi na karatasi bab!!