This is 2015 na Mbowe bado yuko strong. Watu waliopenyezwa na CCM kuivuruga Chadema wamejulikana na kutimuliwa.
Tunangoja plan B ya CCM ama itakula kwao.
Safi, Zakumi. Umepotelea wapi?Za mwaka mpya Jasusi.
Kumbe ndo maana walipoteana 2010, nguvu zote walizielekeza kwa Mbowe, wakasahu kuwa CHADEMA ni taasisi........
Mitaani, mwanasiasa anayezungumzwa sana kwa upande wa upinzani, huku akipewa nafasi ya kukua zaidi ni Mbowe.
Vyanzo vya habari vinasema CCM wamefanya utafiti, wamelijua hilo , na hawawezi kumwachia akashamiri, kwa sababu hawataki kusumbuliwa katika uchaguzi wa mwaka 2010.
Chanzo: Tanzania Daima » Account Suspended
Safi, Zakumi. Umepotelea wapi?
Huku kwetu imepapasa tu ingawa shule zimefungwa.Nadunda tu. Naomba snow idondoke kwa wingi nisiende mzigo
Ajabu ni kwamba baada ya wavurugaji kujulikana na kutimuliwa kikosi kilichobaki kimezidi kuimarika kwa kupata wachezaji wapya na kuwaacha waandaaji wakivurugana wenyewe kwa wenyewe! Mbinu za kumdhoofisha Mbowe yaonekana zimegonga mwamba na badala yake kwa sasa ndiye Kiongozi wa Upinzani bungeni.This is 2015 na Mbowe bado yuko strong. Watu waliopenyezwa na CCM kuivuruga Chadema wamejulikana na kutimuliwa.
Tunangoja plan B ya CCM ama itakula kwao.