FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 716
Ogah,
Mimi nimesema tujadiliane jinsi ya kufanya kubadili katiba ili kuwe na fair ground kwa vyama vyote Rufiji anasema fikira zangu ni duni.
Sasa mimi na wao = Mtawala na mtawaliwa, nani ana akili zaidi ya mwingine?!!!!!
Ndio maana tutaendelea kuwatawala MILELE!
Guys sichangii topic hii tena!
Mimi nimesema tujadiliane jinsi ya kufanya kubadili katiba ili kuwe na fair ground kwa vyama vyote Rufiji anasema fikira zangu ni duni.
Sasa mimi na wao = Mtawala na mtawaliwa, nani ana akili zaidi ya mwingine?!!!!!
Ndio maana tutaendelea kuwatawala MILELE!
Guys sichangii topic hii tena!