Okoa ndoa hii

hahahaha! Mwenzio mambo ya hospital siyajui ila nafikiri amemaanisha vipimo vya DNA.
Hapana nadhani alitaka atupige changa la macho mara nyingi ile utrasound huwa wanaitumia kuangalia mtoto atakuwa ni sex gani yaani kwenye monitor lakini image haionekani vizuri hata kuona hiyo sex ya mtoto inakuwa kwa matatizo.., sasa huyu ndugu yetu sijui aliona nini
 
Hapana nadhani alitaka atupige changa la macho mara nyingi ile utrasound huwa wanaitumia kuangalia mtoto atakuwa ni sex gani yaani kwenye monitor lakini image haionekani vizuri hata kuona hiyo sex ya mtoto inakuwa kwa matatizo.., sasa huyu ndugu yetu sijui aliona nini
Aliona Vampire!!!!
 
Hapana nadhani alitaka atupige changa la macho mara nyingi ile utrasound huwa wanaitumia kuangalia mtoto atakuwa ni sex gani yaani kwenye monitor lakini image haionekani vizuri hata kuona hiyo sex ya mtoto inakuwa kwa matatizo.., sasa huyu ndugu yetu sijui aliona nini
hivyo! Hebu nisaidie kumwambia anirudishie hiyo pole. Angekuwa karibu ningempiga makonzi, watu wazima na heshma zetu anatutania.
 
ni mjinga sana, yeye anajua ana mume cha kuiacha hiyo mimba ni nini wakati alijua fika ametembea na mtu mwingine, na isitoshe ni mzungu, wanawake wengine taaabu wanazitafuta wenyewe, asubirie hiyo aibu, kuna msichana namfahamu yeye alizaa africast kabisa eti akawa anakazana kuosha nywele za mtoto na bia ziwe ngumu, sijui alidanganywa wapi, ila hakuachwa, alikuja kuachana na mumewe kwa mambo mengine ya kijinga sana
Mie namshangaa alikuwa anasubiria aumbuke au, heri....kuliko fedheha hii kubwa namna hii
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom