Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pole sana.The boss we acha tu, mwenzenu nimelea mimba si yang 4 four months, utrasound ikaja kunifungua macho, naugulia tu hapa, hata kipimo kikubwa sjapima.
hivi kweli utrasound inaweza ikaonyesha mimba ya mieze minne kama ni yake au sio yake.? mimi naomba umwambie akurudishie pole yako..pole sana.
hahahaha! Mwenzio mambo ya hospital siyajui ila nafikiri amemaanisha vipimo vya DNA.hivi kweli utrasound inaweza ikaonyesha mimba ya mieze minne kama ni yake au sio yake.? mimi naomba umwambie akurudishie pole yako..
sasa si itakuwa zima moto hiyo?Duh! Mi nasubiri akishazaa ndio nitoe ushauri.
Hapana nadhani alitaka atupige changa la macho mara nyingi ile utrasound huwa wanaitumia kuangalia mtoto atakuwa ni sex gani yaani kwenye monitor lakini image haionekani vizuri hata kuona hiyo sex ya mtoto inakuwa kwa matatizo.., sasa huyu ndugu yetu sijui aliona ninihahahaha! Mwenzio mambo ya hospital siyajui ila nafikiri amemaanisha vipimo vya DNA.
ndio hvyo Ila nae ana hatari, anakula raha hadi kitambi kinaingia. Lol!sasa si itakuwa zima moto hiyo?
Aliona Vampire!!!!Hapana nadhani alitaka atupige changa la macho mara nyingi ile utrasound huwa wanaitumia kuangalia mtoto atakuwa ni sex gani yaani kwenye monitor lakini image haionekani vizuri hata kuona hiyo sex ya mtoto inakuwa kwa matatizo.., sasa huyu ndugu yetu sijui aliona nini
hivyo! Hebu nisaidie kumwambia anirudishie hiyo pole. Angekuwa karibu ningempiga makonzi, watu wazima na heshma zetu anatutania.Hapana nadhani alitaka atupige changa la macho mara nyingi ile utrasound huwa wanaitumia kuangalia mtoto atakuwa ni sex gani yaani kwenye monitor lakini image haionekani vizuri hata kuona hiyo sex ya mtoto inakuwa kwa matatizo.., sasa huyu ndugu yetu sijui aliona nini
Ndio kabisagaga,ingekua mapema kidogo ungemshauri aichoropoe?!nauliza tu!
Mie namshangaa alikuwa anasubiria aumbuke au, heri....kuliko fedheha hii kubwa namna hiini mjinga sana, yeye anajua ana mume cha kuiacha hiyo mimba ni nini wakati alijua fika ametembea na mtu mwingine, na isitoshe ni mzungu, wanawake wengine taaabu wanazitafuta wenyewe, asubirie hiyo aibu, kuna msichana namfahamu yeye alizaa africast kabisa eti akawa anakazana kuosha nywele za mtoto na bia ziwe ngumu, sijui alidanganywa wapi, ila hakuachwa, alikuja kuachana na mumewe kwa mambo mengine ya kijinga sana
Kimey hujatulia, hahahahahaaaa maombi yatambadilisha mtoto tumboni?hahahahaha tuchape maombi mpaka mtoto akitoka afanane na mume wake..