GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Kutokana na chama cha mapinduzi kuchuja wagombea wa nafasi mbali mbali za kisiasa na kuwa acha wengi wao kutokana na sababu mbali mbali zikiwemo za utovu wa nidhamu na kutaka madaraka zaidi ni dhahiri shahiri kuwa watu hao waliomwagwa wana jiandaa kuhamia vyama vya upinzani na hasa hasa CHADEMA. Mwenyekiti wa CCM ameishasema wa-go ahead ya kuhama kwenye chama hicho dume na tawala.
Kwa muktadha huo basi hii haina Shaka kuwa vyama vya upinzani vitachukua oil CHAFU ya CCM km ilivyo Ada Yao siku zote.
Kwa muktadha huo basi hii haina Shaka kuwa vyama vya upinzani vitachukua oil CHAFU ya CCM km ilivyo Ada Yao siku zote.