OIC: Mbwa mwitu aliyevaa ngozi ya kondoo

Hii article imeandikwa na mkuda mmoja mwenye malengo yake binafsi! Hainiingii akilini Intelligensia ya KGB ya bwana Puttin isilijue hili mpaka ikubali nchi yake ya Russia kuwa miongoni mwa wanachama. Hivi nchi ngapi Africa zimejiunga na OIC hapa Afrika tena nchi ambazo waislamu ni asilimia ndogo sana kama Uganda na Mozambique na je wameathirika na uanachama wao wa OIC? Hebu acheni propaganda zisizo na kichwa wala miguu kwa mambo msiyoyajua:

Wewe mleta hoja kama kweli una uhakika na unachokisema hebu tuletee reliable source hata kama inatokea Vatican nitaikubali! Huna lolote na roho yako ya fitna.

Organisation of Islamic Cooperation - Wikipedia, the free encyclopedia

Member states of the Organisation of Islamic Cooperation - Wikipedia, the free encyclopedia

http://www.oic-oci.org/home.asp


Fuatilia hizo link ujue ukweli kuhusu OIC!

Urusi kujiunga si hoja. Urusi si mfano hata kidogo wa utawsla bora. Ni nchi inayoweza kufanya chochote ili kufanikisha maslahi yake. Inaweza kumuunga mkono yeyote ilimradi inafanikisha makengo yake. Ni kweli Urusi kuna waislamu lakini wanatendewa vibaya kuliko hao ambao hawsjajiunga Oic. Malengo ya kisiasa ya Urusi yanaweza kuifanya kufanya lolote baya na mifano ipo ikbao.
 
Jukumu la OIC kwa katiba yake linaweza kuwa ni kuwasaisadia Waislamu lakini sharti nchi nzima iwe mwanachama wake.

Hii ni tofauti na taasisi za kikristo zinazotoa misaada bila sharti hilo. Sharti la OIC ni kama linakwamisha maendeleo ya waislamu, kwa mfano, kama OIC inataka kuwajengea shule waislamu au hosptali hakuna anayewazuia lakini wao wanasema hatuwasaidii waislamu wenzetu hadi nchi yote hata ya wasio waislamu wajiunge na sisi, who is a looser.


What a cheap comment is this!!

Tanzania ikijiunga OIC na nyie msiokuwa waislamu mtalazimishwa kwenda kusali misikitini?mtavalishwa hijabu? mtazuiwa kula kiti moto? Hebu niambie wewe binafsi na imani yako na dini yako kwa ujumla utaathirika vipi (utapungukiwa nini) kwa neno TANZANIA kuonekana kwenye list ya member wa OIC?

Hebu toa hoja zenye maana siyo unaleta ***** tu!
 
Hii article imeandikwa na mkuda mmoja mwenye malengo yake binafsi! Hainiingii akilini Intelligensia ya KGB ya bwana Puttin isilijue hili mpaka ikubali nchi yake ya Russia kuwa miongoni mwa wanachama. Hivi nchi ngapi Africa zimejiunga na OIC hapa Afrika tena nchi ambazo waislamu ni asilimia ndogo sana kama Uganda na Mozambique na je wameathirika na uanachama wao wa OIC? Hebu acheni propaganda zisizo na kichwa wala miguu kwa mambo msiyoyajua:

Wewe mleta hoja kama kweli una uhakika na unachokisema hebu tuletee reliable source hata kama inatokea Vatican nitaikubali! Huna lolote na roho yako ya fitna.

Organisation of Islamic Cooperation - Wikipedia, the free encyclopedia

Member states of the Organisation of Islamic Cooperation - Wikipedia, the free encyclopedia

http://www.oic-oci.org/home.asp


Fuatilia hizo link ujue ukweli kuhusu OIC!

Mkuu kila nchi ina hitoria yake ya kujiunga na OIC.

Uganda ni Idd Amin Dada alitumia imani yake kuingiza bila hata mjadala wa kitaifa.

Msumbiji ilipata mafuriko makubwa ya El Nino na kutikisa uchumi wake ili kupata masada wa OIC walilazimika kwanza kujiunga.
 
leteni na nia na madhumuni ya ubalozi wa papa ulipo tz ili tujadili vizuri.
Sio mnaleta porojo na propaganda.
Halafu mnawalaumu waislam wadini wakati udini mnaupalilia wenyewe.
 
What a cheap comment is this!!

Tanzania ikijiunga OIC na nyie msiokuwa waislamu mtalazimishwa kwenda kusali misikitini?mtavalishwa hijabu? mtazuiwa kula kiti moto? Hebu niambie wewe binafsi na imani yako na dini yako kwa ujumla utaathirika vipi (utapungukiwa nini) kwa neno TANZANIA kuonekana kwenye list ya member wa OIC?

Hebu toa hoja zenye maana siyo unaleta ***** tu!

sina tatizo hata kidogo na Tanzania kujiunga na OIC kama unavyotaka JF waamini hivyo. Tatizo langu liko kwenye maneno ndani ya katiba yake basi kama ilivyoelezwa hapo juu.

Katiba ndio inamfunga mwanachama kuwajibika kwa majukumu yaliyoainishwa.
 
Ninavyojua ni kuwa Tanzania ni nchi isiyofungamana na upande wowote na ni mwanachama wa Non alligned movement,sasa haya mambo ya kulazimishana kujiunga na upande ambao lengo lake kuu ni kuifuta Israel kwenye ramani ya Dunia sisi yanatuhusu vipi..?? Au huo Ugomvi wao wapalestina na waisraeli unatuathiri au kutufaidisha vipi sisi kama watanzania..??Tuamke,na tusilazimishane kufikiri katika masuala yahusuyo imani kwa nguvu.Na kwa nini yote haya hatukuwahi kuyasikia wakati wa utawala wa Awamu ya kwanza na ya tatu..??

Miongoni mwa nchi zenye mlengo mkali wa kutofungamana na upande wowote ni INDIA,Lakini INDIA ni mwanachama wa OIC!Kuhusu siasa za mashariki ya kati RUSSIA na Thailand wanamsimamo gani? mbona wao ni member wa OIC? Sasa sijui nikueleweje ndugu yangu?
Hebu njoo na hoja nyingine nikujibu!
 
Serikali imewahi kutamka kuwa imefanya utafiti wa kina na kubaini kuwa hakuna madhara kwa tanzania kujiunga na oic kwa hiyo tuache uchadema na kejeli za kijinga humu ndani
Tanzania will never OIC member
 
leteni na nia na madhumuni ya ubalozi wa papa ulipo tz ili tujadili vizuri.
Sio mnaleta porojo na propaganda.
Halafu mnawalaumu waislam wadini wakati udini mnaupalilia wenyewe.


Ndugu, Vatican ni nchi kama Iran, Saud Arabia, Libya kwa kutaja nchi chache tu za kiislamu zilizo na ubalozi hapa nchini. Kuna watu kama Mohamed Mtoi anaweza kuelewa lakini wewe sidhani kwa sababu umeamua kwa makusudi kuifananisha nchi ya Vatican na Taasisi ya OIC. Mabalozi wa Vatican wako katika baadhi ya nchi za Kiislamu na nchi za kiislamu zina balozi zake Vatican. Uhusiano huu ni wa nchi na nchi.

Kama ilivyo kwa nchi za kiislamu kuwa na mkuu wa nchi mfalume mfano wa Jordan na Saud Arabia na zingine Rais kama Iraq na Pakistana au Iran. Papa ndiye Rais wa nchi ya Vatican

Nchi zote duniani zinatambuliwa na Umoja wa mataifa.
 
leteni na nia na madhumuni ya ubalozi wa papa ulipo tz ili tujadili vizuri.
Sio mnaleta porojo na propaganda.
Halafu mnawalaumu waislam wadini wakati udinimnaupalilia wenyewe.

Hii si hoja. Mimi kwangu uislamu na ukatoliki zote ni dini ovu kabisa machoni mwangu na historia inanisupport lakini uwepo ws ubalozi wa pope ni uwepo wa nchi ya Vatican. Walutheri hawana nchi kama wskatoliki lakini wakatoliki na waislamu wana nchi zao zinazoendeshwa kwa sheria zao. Kwa hiyo kama nchi ya kiislamu inayoongozwa na Kiongozi wa kidini Ayatolah alivyo na balozi.wsake hapa Tz ndivo hivo nchi ya kikatoliki inayoonozwa na Pope ilivyo na balozi wake hapa nchini manake zote ni nchi.
 
Miongoni mwa nchi zenye mlengo mkali wa kutofungamana na upande wowote ni INDIA,Lakini INDIA ni mwanachama wa OIC!Kuhusu siasa za mashariki ya kati RUSSIA na Thailand wanamsimamo gani? mbona wao ni member wa OIC? Sasa sijui nikueleweje ndugu yangu?
Hebu njoo na hoja nyingine nikujibu!

Mbona mauaji ya chechenya kwa waislamu hutoi mfano kwamba na waislamu wa Tanzania wauwawe kama ilivyofanyika Russia (chechenya?)

Katiba ya OIC ndiyo inawasumbua watanzania wenzenu wasio waislamu sio kwa nini Russia, Uganda, Msumbuji wamejiunga na OIC.

Tuache watanzania tuwe na mawazo huru si kwa sababu fulani kaua mtu na ni mtu maarufu na mimi niuwe mtu.
 
What a cheap comment is this!!

Tanzania ikijiunga OIC na nyie msiokuwa waislamu mtalazimishwa kwenda kusali misikitini?mtavalishwa hijabu? mtazuiwa kula kiti moto? Hebu niambie wewe binafsi na imani yako na dini yako kwa ujumla utaathirika vipi (utapungukiwa nini) kwa neno TANZANIA kuonekana kwenye list ya member wa OIC?

Hebu toa hoja zenye maana siyo unaleta ***** tu!



Kujiunga na OIC kwa mujibu wa katiba yake maanake tunailinda kwa yaliyomo katika katiba ya OIC.


Ukisoma katiba ya OIC inatisha kwa mtu ambaye sio mwislamu na ndio hofu na wasiwasi wa watu wasio waislamu.

Hofu sio Uislamu kama unavyoeleza.
 
Hii si hoja. Mimi kwangu uislamu na ukatoliki zote ni dini ovu kabisa machoni mwangu na historia inanisupport lakini uwepo ws ubalozi wa pope ni uwepo wa nchi ya Vatican. Walutheri hawana nchi kama wskatoliki lakini wakatoliki na waislamu wana nchi zao zinazoendeshwa kwa sheria zao. Kwa hiyo kama nchi ya kiislamu inayoongozwa na Kiongozi wa kidini Ayatolah alivyo na balozi.wsake hapa Tz ndivo hivo nchi ya kikatoliki inayoonozwa na Pope ilivyo na balozi wake hapa nchini manake zote ni nchi.

Kiongozi wa kidini Ayatolah nchini Iran= papa nchini Vatican
 
Asante sana mkuu kwa kutujuza. Hapa kwetu Tanzania janja yao ya kuishawishi serikali kujiunga na OIC haitafanikiwa maana tumeishtukia!
OIC, MBWA MWITU ALIYEVAA NGOZI YA KONDOO.

Jumuiya ya nchi za kiislam OIC[ organization of islamic conference] iliasisiwa mwaka wa 1969,

jumuiya hii ilianzishwa nchini MOROCCO tarehe 21Agust 1969 AD, au 12 Rajab 1389 H,

*. Jumuiya hii ilianzishwa kutokana na mashabulizi ya ISRAEL yaliyofanywa dhidi ya nchi za kiarabu, na kutekwa kwa mji wa YERUSALEM,[ AL-QUDA], katika vikao viwili kile cha MOROCCO tarehe 25 september 1969, na kile cha mjini JEDDAH cha mwezi machi 1970 kiliweka maazio ya kuuteuwa kwa muda mji JEDDAH kuwa makao makuu ya muda ya OIC ambapo kikao hicho kiliazimia kuwa MAKAO MAKUU YA KUDUMU YA OIC YATAKUWA NI YERUSALEMU.

Moja ya kipaumbele kikuu na lengo kuu la kuasisiwa kwa OIC ni kuikomboa YERUSALEMU kutoka mikononi mwa ISRAELI pamoja na msikiti MTAKATIFU WA AL-AQSA ulio sehemu muhimu kwa imani ya kiislam kwani AL-AQSA ndiyo QIBLA cha kwanza cha waislam kabla hakijageukia AL-KAABA. hivyo yaliwekwa maazimio matatu muhimu,

1. kujijengea uwezo kwa kufanya yafuatayo. [a] kujenga mshikamano miongoni mwa waislam,
kujenga mashirikiano ya jamii nzima ya kiislam,
[c] kuupigania uislam kwa kulindamaeneo MATAKATIFU pamoja kulinda vitabu VITAKATIFU,

2. kuunganisha nguvu ili [a] kupigania sehemu TAKATIFU.
kuunga mkono harakati za WAPALESTINA KUJIKOMBOA,
3.Kufanya kazi kwa pamoja
[a] kuondoa ubaguzi miongoni mwa waislam na
kueneza dini na utamaduni wa kiarabu. nk.

ili kufanikisha azma na malengo ya jumuiya vilianzishwa vyombo mbalimbali vya kusimamia shughuli zote kulingana na vipaumbele husika, ili kuyafikia malengo hayo KIKAO KILIGUSIA maeneo haya. ELIMU, SIASA, UCHUMI na DINI , mambo haya yaliwekwa chini ya KATIBU MKUU ili kuhakikisha kuwa malengo yanafanikiwa
1-KUHAKIKISHA KUWA ZINAANZISHWA SHULE ZA KIDINI[MADRASSA ] zitakazo toa ELIMU ya DINI-SIASA kazi kubwa ya shule hizi ni kujenga uadui kati ya UTAWALA WA KIZAYUNI[ISRAEL ] uliolikalia kwa nguvu eneo takatifu la yerusalem ulipo mskiti wa AL-AQSA , mbinu hii imesaidia sana kwani baada vijana wengi kufunzwa katika MADRASA hizi za DINI SIASA[ UDINI] tumewashuhudia wakitamka hadharani kuwa UTAWALA WA KIZAYUNI UNAPASWA KUFUTWA KWENYE RAMANI YA DUNIA NA PALESTINA LIWE TAIFA HURU,

chini ya mwamvuli huu mara kadhaa tumewasikia wahubiri wadini ya kiislam kama vile ABOOD MOHAMEDY ROGO, ANWAR AL AWALAKI, ABU QATADA, na wengineo wakiwahamasisha vijana wa kiislam kwenda PALESTINA kuwapigania ndugu zao.
Kivuli hiki cha DINI SIASA kimeendelea kukua hasa pale mataifa ya MAGHARIBI kuonekana wakiingua mkono ISRAEL, mafundisho haya ya dini siasa sasa yanazigusa hata nchi hizi zinazoonekana kuwa ni washirika wa utawala wa KIZAYUNI,
katika mafundisho haya ya DINI SIASA yaliyoasisiwa na OIC yamefanikiwa kuzalisha makundi ya KIGAIDI na MISIMAMO MIKALI YA DINI-SIASA[UDINI] ndiyo maana nchi ambazo zilikuwa za mwanzo kujiunga na jumuiya hii kwa sasa zinakabiliwa na mfumuko wa siasa kali za udini,
UDINI ulionwa kuwa ndiyo njia pekee ya kuyayafikia malengo, yaani kuwafundisha vijana wa kiislam kuwa ADUI YAO NI YULE ANAYEWANYIMA HAKI YA KUWA NA YERUSALEM.
hapa ndipo yalipoanza madai ya kile kinachoitwa MFUMO KRISTO, yaani washirika wa utawala wa MAZAYUNI
unaowanyima haki waislam, kwa kutumia mbinu za hali ya juu za kutengeneza mazingira wamefanikiwa kuziteka nyoyo za wengi.

Madhumuni ni mamoja tuu, KUKUSANYA NGUVU NA KUIKOMBOA YERUSALEM ILI IWE NI MAKAO MAKUU YA OIC.
hata hapa kwetu mafundisho haya tayari yamekwisha kupenyezwa.
 
Kuna nchi nyingi hapa duniani zimejiunga na oic na wala hakuna matatizo,kwanini watanzania mna chuki? Acheni oic iwanufaishe watanzania hasa wananchi maskini

tueleweshe mkuu OIC itawanufaisha vp Watanzania wote,sisi tutaisapoti.

With facts.
 
Hata huyu ndugu kaleta utafiti wake anataka tujadili kosa liko wapi? Kujadili suala hili kwa uwazi kutasaidia kupunguza hofu kuliko kulifanya ni suala la serikali.

Na yule balozi wa Vatican anamuwakilisha nani? hapa nchini? acheni fitina zenu
 
leteni na nia na madhumuni ya ubalozi wa papa ulipo tz ili tujadili vizuri.
Sio mnaleta porojo na propaganda.
Halafu mnawalaumu waislam wadini wakati udini mnaupalilia wenyewe.

vatican ni nchi wewe kama ilivyo KENYA , SOMALIA hiyo Oic yenyewe imeshindwa kusaidia Somalia yenye muslim 100%.Ndio hapa Tz mlivyo na njaa kali.
 
Kila jambo lililo kinyume na mtazamo wako ni chadema?

kwa nini usijenge hoja kupangua kifungu kwa kifungu na kipengere kwa kipengere hapo juu ili kuwasaidia wanaotoa tafsiri potofu kuhusu OIC.

katiba ya OIC ina vipengere vinavyohitaji maelezo na ndivyo vinatumiwa na wanaopinga OIC kama ilivyoelezwa hapo juu. wasiwasi wa baadhi ya wananchi unatokana na hoja hizo.

Huyu ndugu mwacheni kama alivyo maana amejipambanua vizuri kwamba yeye ni CCM!

Nachukia watu wasiokuwa na ubunifu hata wa kutafuta ID zao wenyewe! Huyo Zoba kaiga mpaka ID ya jamaa mmoja humu jamvini (T2015CDM). Hakika huyu ni mvivu wa kutumia ubongo!!
 
Hali tete ya nchi kwa sasa ikiwemo mihadhara ya kukashifu dini zingine na kuvunja makanisa inaonyesha kuwa Ukiristo na Uislamu unazidi kuwa mbalimbali kuliko huko nyuma, mambo yafutayo yatajitokeza.

- MOU itavunjwa kwa mazingira ya sasa na kukidhi malalamiko ya waislamu inagwa taasisi kama Aghakan za kiislamu nazo zimo kwenye MOU.
- Mahakama ya kadhi na OIC itabaki kuwa suala ndani ya waislamu.
- Misamaha ya kodi kwenye taasisi za dini itafutwa huko twendako ili kuendelea kuiweka serikali mbali na taasisi za dini kwani haina dini.
- Taasisi za dini zinaweza kukataa kupokea waumini wa dini nyingine, mashuleni, mahospitali na kwenye ajira ya sekta binafsi ambako mkono wa serikali hauna nguvu.
- na mambo mengine ya kidini

Pia kuna uwezekano wa taasisi za kikristo kuyashawishi mataifa ya Ulaya na Marekani ambao ndio watoaji wakuu wa misaada ya maendeleo kwa Tanzania kupitisha misaada kwenye taasisi hizo. Nakumbuka siku za nyuma kulikuwa na plan kama hiyo sijui iliishia wapi. Hii si nzuri hata kidogo lakini kwa tunakoelekea hilo linawezekana sana.
 
Na yule balozi wa Vatican anamuwakilisha nani? hapa nchini? acheni fitina zenu

Wewe sasa unaleta viroja! Hivi kwa akili yako na kwa mfano uliotoa unataka kutuambia Tanzania ni mwanachama wa Vatican? Uhusiano wa Tanzania na Vatican ni kupitia UN ambako wote (Tz na Holy See) ni wanachama.

Viroja vyenu mnataka Tanzania iwe mwanachama wa OIC! Ushauri wa bure ni kwamba OIC iombe uanachama wa UN then automatically "nchi" hizo mbili zitakuwa na mahusiano ya kibalozi. No problem! Ha ha ha ha ha.
 
Kuna watu humu wanazitaja URUSI na INDIA, katika maelezo yangu hapo juu nimeanisha vyema namna ambavyo MADRASSA za DINI-SIASA zinavyowapika vijana katika CHUKI. Kwa mantiki hiyo URUSI na INDIA haziko salama, URUSI kuna kundi la chechiniya linapigania kujitenga ili kuanzisha dola huru la KIISLAM. Wakadhalika INDIA katika jimbo la KHASHIMIR mambo ni hayo hayo.
 
Back
Top Bottom