KAZIMOTO
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 1,073
- 324
Kuna nchi nyingi hapa duniani zimejiunga na oic na wala hakuna matatizo,kwanini watanzania mna chuki? Acheni oic iwanufaishe watanzania hasa wananchi maskini
rudi kwenye hoja ndugu inaonyesha unaifahamu sana OIC lakini unakwepa kuwasaidia wengine wakaelewa kama unavyoelewa wewe.