status quo
Member
- May 6, 2011
- 87
- 38
kwakweli sina budi kukiri kuwa uwepo wa Tundu lissu bungeni ni muhimu sana, jana werema kashinda kirahisi mno.jamaa yuko wapi?
Magamba walijua hiyo ndio maana wakaamua kumchelewesha kwenye kesi isiyokuwa na kichwa tumbo wala miguu.Yupo singida kwenye kesi waliomfumfungulia.Shame on Magamba's.kwakweli sina budi kukiri kuwa uwepo wa Tundu lissu bungeni ni muhimu sana, jana werema kashinda kirahisi mno.jamaa yuko wapi?
kaamua kukomaa mwenyewe
kwakweli sina budi kukiri kuwa uwepo wa Tundu lissu bungeni ni muhimu sana, jana werema kashinda kirahisi mno.jamaa yuko wapi?
kwakweli sina budi kukiri kuwa uwepo wa Tundu lissu bungeni ni muhimu sana, jana werema kashinda kirahisi mno.jamaa yuko wapi?