Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
All of the sudden wanywaji wote hawataweza kuacha kunywa bia!!!! ???? Ila tu kwa kiwanda cha bia au bidhaa yoyote ni kungalia both domestic and foreign market demand and supply. Kwa mfano kama domestic market ya bia TZ is dominant then mnywaji akiacha ataiathiri demand and supply. Sasa wenzetu ili kuvimaliza viwanda vya bia Tz ni kujiuliza je tukiacha wateja domestic je soko la nje vipi???? Kama TBL na Serengeti dominate our market then wote tuungane tuwamalize. Kabla ya kuwamaliza tuangalie our domestic revenue ambayo partly inatokana na kodi zetu je tutafika bila bia??? Au ndo tutaongeza size ya bakuli la ombaomba kwa wahisani kama mzee matonya vile!!!! Shame!!!
Cha msingi kama unakamata bia yako, lipa kwanza. Ni sehemu nyingi za starehe dar hususani Bar, Groceries and Pubs wana mitindo ya fake bill. Kuondokana na hawa wahudumu na owners wachwara wewe agiza kama mlivyo then mwambie nipe bill and foot it instantly, kama mtaongeza then mtindo ni ule ule. Pia kwa zile sehemu za wauza pombe zilizokithiri kwa tabia ya wizi kwa bill achana nazo mwambie na rafiki then baada ya muda atashindwa kwenda sambamba na tra na gharama nyingine so will be obliged to close down. Tza mteja ni mfalme inadidimia.
Ukisema wote twende sehemu reputable kama Moven na kwingineko, si wote tuna uwezo huo. Tunachotaka ni discipline ya sehemu za starehe both to users and providers. Ndivyo nionavyo and cheers wakuu. Mimi na familia yangu hatunywi pombe and we are comfortable!!! Welcome.
Cha msingi kama unakamata bia yako, lipa kwanza. Ni sehemu nyingi za starehe dar hususani Bar, Groceries and Pubs wana mitindo ya fake bill. Kuondokana na hawa wahudumu na owners wachwara wewe agiza kama mlivyo then mwambie nipe bill and foot it instantly, kama mtaongeza then mtindo ni ule ule. Pia kwa zile sehemu za wauza pombe zilizokithiri kwa tabia ya wizi kwa bill achana nazo mwambie na rafiki then baada ya muda atashindwa kwenda sambamba na tra na gharama nyingine so will be obliged to close down. Tza mteja ni mfalme inadidimia.
Ukisema wote twende sehemu reputable kama Moven na kwingineko, si wote tuna uwezo huo. Tunachotaka ni discipline ya sehemu za starehe both to users and providers. Ndivyo nionavyo and cheers wakuu. Mimi na familia yangu hatunywi pombe and we are comfortable!!! Welcome.