Wild fauna
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 461
- 189
Ni hatari sana kuwa na imani kwa mtu mwenye elimu ndogo tena amekubali kufanya kazi inayoongozwa kwa amri pekee.
Polisi wengi ni form four failures,matokeo yake wanakua watu wakufanya kaz tuu kama marobot.
Nashindwa kuelewa what if mng'esubiri mkutao uishe then muwakamate viongoz wahusika kama kuna sheria yeyote iliyo vunjwa?
Polisi wengi ni form four failures,matokeo yake wanakua watu wakufanya kaz tuu kama marobot.
Nashindwa kuelewa what if mng'esubiri mkutao uishe then muwakamate viongoz wahusika kama kuna sheria yeyote iliyo vunjwa?