Kwa kweli nimesikitika kutoswa kwa Mh. Nundu na kuachwa kwa Prof. Maghembe.
Hivi kweli ana justify vipi mchele kufikia shilingi elfu 3000, korosho kukosa soko, mbolea feki, mazao kuozea shambani, wakulima kukopwa nk...
Jamani nisaidieni kutaja:-......halafu anahamishiwa sijui wizara gani ile ili akahujumu vizuri !
Nadhani kama haikuwa oversight upande wa Mh. Rais basi kuna syndicate somewhere. Nundu ambaye angepewa nafasi, ametupwa kapuni.
:hungry:
Haya kazi kwako Mathayo kwani nina uhakika haitatokea mchele ushuke bei tena. Tunataka mapinduzi ya KILIMO tengeneza mpango na wataalamu wako muweke mazingira ya kuwekeza kwenye kilimo yawe ya kuvutia ili vijana wavutiwe na wajiajiri.
Kwa kweli watu sasa chakula imekuwa shida. Hata kwenye hoteli za kitalii chakula shida tupu sahani hadi 45000 yenye vichips vitano au wali kiganja kimoja. AIBU!
Watalii wanapashwa kutusifia kwa chakula kingi kizuri. Siku hizi hoteli ni tupu labda akina Maige & Co ndo wanaweza kwenda kula.
Hivi kweli ana justify vipi mchele kufikia shilingi elfu 3000, korosho kukosa soko, mbolea feki, mazao kuozea shambani, wakulima kukopwa nk...
Jamani nisaidieni kutaja:-......halafu anahamishiwa sijui wizara gani ile ili akahujumu vizuri !
Nadhani kama haikuwa oversight upande wa Mh. Rais basi kuna syndicate somewhere. Nundu ambaye angepewa nafasi, ametupwa kapuni.
:hungry:
Haya kazi kwako Mathayo kwani nina uhakika haitatokea mchele ushuke bei tena. Tunataka mapinduzi ya KILIMO tengeneza mpango na wataalamu wako muweke mazingira ya kuwekeza kwenye kilimo yawe ya kuvutia ili vijana wavutiwe na wajiajiri.
Kwa kweli watu sasa chakula imekuwa shida. Hata kwenye hoteli za kitalii chakula shida tupu sahani hadi 45000 yenye vichips vitano au wali kiganja kimoja. AIBU!
Watalii wanapashwa kutusifia kwa chakula kingi kizuri. Siku hizi hoteli ni tupu labda akina Maige & Co ndo wanaweza kwenda kula.