Ogopa Mgomo Baridi: Muhimbili hakufai

hali ya muhimbili inatisha jamani, viongozi wetu waanze kuwa na hofu ya kifo na mungu otherswise siasa hizi zinatupeleka pabaya
Hata kama hawana conscience laana za hawa wagonjwa na watanzania kwa ujumla hazitawaepuka wao na vizazi vyao.
 
Mie nashangaa watu kushangaa. Serikali ilishatoa tamko kuwa LIWALO NA LIWE, au mlikuwa mnataka JKilaza mwenyewe ndiye atamke? Waziri Mkuu ni serikali pia....Very sad...oohh..LIWALO NA LIWE.
Jk anashangaa
Pinda anashangaa,
wananchi wanashangaa,
wagonjwa wanashangaa
madokta wanashangaa
 
Watanzania sisi ni wanafiki watu wakianzisha harakati za kuboresha huduma tunawalalamikia na kuona kuwa ni wajinga. Sasa mwisho wa siku sisi ndo waathirika wakubwa. Utalikuta jitu linaongea utafikiri lenyewe linaishi mwezini kumbe hapahapa. Sasa walimu nao wanadai haki yao mtasema sana. Acheni muumie sasa mnalalamika nini wakati mu wanafiki?
 
Watanzania sisi ni wanafiki watu wakianzisha harakati za kuboresha huduma tunawalalamikia na kuona kuwa ni wajinga. Sasa mwisho wa siku sisi ndo waathirika wakubwa. Utalikuta jitu linaongea utafikiri lenyewe linaishi mwezini kumbe hapahapa. Sasa walimu nao wanadai haki yao mtasema sana. Acheni muumie sasa mnalalamika nini wakati mu wanafiki?
Halafu 2015 two months kabla ya uchaguzi Mgomo mwingine mzito.
Hata kama watasema mgomo ni CHADEMA sponsored/organized so be it aka liwalo na liwe
 
Yani walale chini, hata godoro hakuna?
attachment.php
 
Let's wait and see wizara itakavoongelea na kukoncludi huduma za afya ya watanzania
 
Back
Top Bottom