Ogopa Mgomo Baridi: Muhimbili hakufai

Nimepata Taarifa kuwa hata Bugando uko wa kichinichini,ili upate huduma lazima uongee na mlinzi akutafutie Dr.te umpe kitu kidogo, vinginevyo utapoteza mgonjwa wako.

mkuu na mie nimepeleka mgonjwa KCMC wiki iliyopita ikiwa ni tarehe yake ya kuonwa nikarudishwa na kuambiwa kuwa hakuna madaktari, wa kuwaona kwani madaktari 80 wamerudishwa wizarani na waliopo wanaona wagonjwa wa emergency tu. sasa sijui serikali ina mpango gani jamani twateseka wananchi
 
mkuu na mie nimepeleka mgonjwa KCMC wiki iliyopita ikiwa ni tarehe yake ya kuonwa nikarudishwa na kuambiwa kuwa hakuna madaktari, wa kuwaona kwani madaktari 80 wamerudishwa wizarani na waliopo wanaona wagonjwa wa emergency tu. sasa sijui serikali ina mpango gani jamani twateseka wananchi
Na serikali ndo inatangaza kuwa huduma zimerejea kama kawa
 
Budget ya Tanzania: 70% ya uendeshaji wa serikali, 30% ya maendeleo..! Kweli ari zaidi, nguvu zaidi, kasi zaidi. Mungu tusaidie watanzania
 
tumejitakia mwenyewe hakuna wakumlilia maana hata ukipaza sauti watasikia na hawachukui hatua yoyote.tuvumilie tu hayo yote yanamwisho
na wakati unavumilia kusubiri mwisho if at all itafika watu wanakufa wanakuwa vilema.....
Next will be you mother, your wife, husband
your son/daughter
wakati ukisubiri mwisho
 
Budget ya Tanzania: 70% ya uendeshaji wa serikali, 30% ya maendeleo..! Kweli ari zaidi, nguvu zaidi, kasi zaidi. Mungu tusaidie watanzania
Kuendesha haya madude si mchezo plus 10%
LC02.jpg
 
na wakati unavumilia kusubiri mwisho if at all itafika watu wanakufa wanakuwa vilema.....
Next will be you mother, your wife, husband
your son/daughter
wakati ukisubiri mwisho
usipovumilia utafanya nini kubadili hali hii chini ya utawala wa ccm?madaktari wakieleza ukweli madai yao wanatafutwa nawenye nchi yao so vumilia na huku sala zako ukiombea watu wabadilike roho za kinyama zisitawale tena
 
Ujinga wetu ndio mtaji wao. tunaumia weeee, tunagugumia weee!! mwee!!! lakini hakuna hatua tunayochukua. na watawala wetu wanalijua hilo, ndio maana kauli zao kila siku ni za kutusanifu tu."TAFAKARI CHUKUA HATUA"
 
serekali itabeba mateso na machungu wanayopata watanzania,
nitaendelea kuwalaumu madakatari waliogoma milele kwani wao ndo chanzo kikuu cha yote haya
kah!mzee,are u ok upstairs?do you really know whats going on?are the fabrics of your faculties intact?
 
usipovumilia utafanya nini kubadili hali hii chini ya utawala wa ccm?madaktari wakieleza ukweli madai yao wanatafutwa nawenye nchi yao so vumilia na huku sala zako ukiombea watu wabadilike roho za kinyama zisitawale tena
Kila jumapili rais na baraza lake wanatajwa almost na makanisa yote kwenye sala miaka yote.
hawajabadilika.
Gamba lao gumu sala haingii
Twende kwa road.
 
Waelekezenu Wagonjwa Hospitali ya Lugalo Jeshini kama Maelekezo ya Serikali yanavyosema...

Hapo kwenye Korido nimeona mtu kama OC OCD wa kawe vile au Macho yangu tu
 
kah!mzee,are u ok upstairs?do you really know whats going on?are the fabrics of your faculties intact?

.......and I ask you the say question kiongozi! Serikali ndio ina wajibu na dhamana ya afya zetu. Ina wajibu wa kutoa vifaa tiba na dawa. Ina wajibu wa kuajiri na kulipa vizuri watumishi wa afya ili wafanye kazi kwa morali

so if u r okay upstairs kama ulivyouliza swali lako then this little fact isingekuwa ngumu kwako kung'amua mapema
 
Mbona picha zinaonesha kuna madakitari wanapita na wahudumu wa afya (nurses/wauguzi) wapo, au hii ni picha ya hospital mpya ya rufaa Lugalo?


sio kila avaaye koti katika hospitali ni daktari mkuu..kuna wafamasia, watu wa maabara, watu wa mionzi, nk
 
Nimepata Taarifa kuwa hata Bugando uko wa kichinichini,ili upate huduma lazima uongee na mlinzi akutafutie Dr.te umpe kitu kidogo, vinginevyo utapoteza mgonjwa wako.
hapo ndipo naposhindwa kuwaelewa madaktari hata kidogo kama mmegoma gomeni kwa uwazi na serikali ijue na umma ujue na madaiyenu kuliko kudanganya serikali mnafanya kazi kumbe hamfanyi mnaumiza wagonjwa kisirisiri,

Mimi nikijua mmegoma sitapeleka mgonjwa hospitali zenu nitajua mmeweka zana chini nitafute mahali pa kwenda au hatadawa za mitishamba kuliko kujua mpo job kumbe moyoni mmegoma!

Au mnaogopa mkwara wa kufukuzwa kazi?? madokta mnatutia aibu aina ya mgomo mnaoendesha!!
 
wakidai mazingira yaboreshwe mnawasema, haya dr. atamtibuje mtu kalala chini ina maana naye dr. lazima akae sakafuni basi.
 
Hiyo sio picha aliyo nayo kikwete.
Kwake na kwa jinsi atakavyojitetea kama kila siku ni kuwa anapotoshwa na wasaidizi wake....
anaangushwa na wasaidizi wake aliowateua "bila kushinikizwa".
Kwake pisi tu

Kwa hali hii hapotoshwi anaijua hali halisi anavunga timu yake ndo yampotosha!
 
Back
Top Bottom