Sigma
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 5,006
- 1,253
- Thread starter
- #41
View attachment 59719Korido ikiwa imejaa wagonjwa Muhimbili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na madokta nao wanasema liwalo na liweTatizo la sis watanzania hatuna uzalendo hatakidogo . Madactari walivyo goma badala ya watanzania kuwasuport wakawa wana waponda na kuwaambia warudi kazini. Nafikiri pia inachangiwa na kutokwenda hospitalini tukaona yanayo tokea na madai yamadactori yalikua ni nini
wananchi wakamwamini sana liwalo naliwe
walahi tena tutateseka sana na kama nikulala chini tutalala chini sana tena hapo ni bado sana ngoja baada ya mwaka moja sasa utaniambia
Hali kama hii wodi kujaa serikali inaitafsiri kuwa huduma zimerejea.
Wao watu kummiminika kwa wingi hospitali na wodi kujaa ndo indicator ya huduma nzuri.
Serikali ya Kikwete na Pinda wanajua QUANTITY tu, QUALITY kwao msamiati.
Na wajinga ndio waliwao. Si mnaishabikia serikali na kuwaponda madaktari? Ukitaka kujua kwamba hata wao wanajua umuhimu wa daktari kamuulize OCD-CID wa Wilaya ya Kawe alipoanza toba hata bila kuulizwa alipojikuta uso kwa uso na anaowaita maadui wa vigogo wake. Aisifuye mvua imemnyea.Ujinga wetu ndo umetufikisha hapa!
About 100 graduate doctor as Specialists in different medical disciplines are expected this August.
And about 80% of them are likely to walk away for greener pastures.
This is from one of their contained meetings following mgomo saga.
Kuwapo kwake utakujua akiugua mafua na kwenda India Apollo Private Hospital, magazeti na TV na Radio vitacover Headings zao naye kupata umaarufu. Umesikia wapi tembo akijali sisimizi wakati anapobarizi?hivi waziri wa afya yupo?
Jamani waandishi wa habari,
Hebu thibitisheni habari hizi kwa umma wa watanzania.
Nendeni mpige picha zenu, video,
M-hoji wagonjwa,
ikiwezekana na ndugu zao
na uongozi wa Hospitali kwani tuliwashuhudia sikuchache kwenye TV wakijigamba kuwa huduma zimerejea kama kawa!
Tupate ukweli.
Watanzania wanakufa,
watanzania wanakuwa vilema.
Tutakuwa nchi ya misiba na vilema.
Ni kweli hii thread imeanika, lakini media pia ni ma-whistle blowers, magazeti, redio, TV husikika kwa wasiofika hapa Jamii ForumsWaandishi wathibitishe nini wakati thread hii imeanika kila kitu? Pictures says more deeply than words. Kiziwi umpe nini asikie wimbo wa Rose Mhando "Jipange sawasawa"
Sijui wale madokta wa voda fasta wameishia wapi?
Pinda uchungu huuu utakutafuna siku moja