Ogopa Mgomo Baridi: Muhimbili hakufai

Si serikali, si viongozi wala si wananchi wote tulishasahau njia nzuri za kupata haki zetu. Na hiyo ndiyo imeleteleza ufisadi uongezeke, wizi uongezeke, huduma mbovu ziendelee kuwepo, elimu yetu ishuke pamoja na gharama za kipuuzi puuzi bila kujua wajibu wetu kama wananchi. Tunahitaji mtu makini atakayetutoa mtindio ndani ya bongo zetu. Hii ya kutegemea wanasiasa kila jambo ni hatari na haifai katika taifa linaloendelea.
We need a combination of Military rules, Democratic rules and dictatorship rules to turn our perceptions on everything. Vinginevyo hatutafika popote, na tutaanza kuuana bila sababu za maana kumbe ni frustration za kuongozwa na watu wasiopenda kubadilika au wanaotuongoza kwa mazoea tu.
Sidhani kama viongozi wetu huwa wanajisomea vitabu angalau kupata maujuzi ya kutuongoza.
 
HIvi watu wanao itete hii serilkaili, ua ni wagonjwa wa akili au ni alaana au ni mizimu isiyo kuwa na raho? kwa binaadam wa kawaida lazima roho itakuuma sana, kwani ni lazia kusubiri 2015 uku tukiendele kupote watu wetu, madini ardhi, cha msingi ni kuandamana na kuomba uchaguzi ufanyike hata kesho ili mambo yasiendelee kuwa mabaya zaidi, maana naona hawa 'wakina watoto wa wakulima wamenogewa'
 
serekali itabeba mateso na machungu wanayopata watanzania,
nitaendelea kuwalaumu madakatari waliogoma milele kwani wao ndo chanzo kikuu cha yote haya
 
Hivyo vitanda vikinunuliwa vitawekwa wapi?

aah ok...kumbe vitanda havinunuliwi kwa sababu hakuna nafasi so ni bora wagonjwa ambao tayari wana maumivu makubwa bado walale kwenye sakafu...safi sana nimependa sera zenu kidumu chama chenu!!
 
Serikali inashindwa kuwakopa hao wanaotengeneza mabomba ya chuma au vitanda wakatengeneza vitanda vya kutosha huku wakitoa ajira kwa wananchi watakaokuwa wameajiriwa na hivyo viwanda vidogo vidogo au vikubwa?
Kwa nini wasianzisha MEGA-MILLIONS PROJECTS kwenye hayo mahospitali kwa ajili ya kumaliza kabisa tatizo la majengo kutokutosha kwenye hospitali zetu? Haiona inapokuwa inaanzisha hii miradi itakuwa inawapa ajira watanzania na kukuza uchumi wetu?
Kwa nini viongozi wetu wasiamue angalau kila mwaka wawe wanakarabati hospitali moja kwa kiwango ambacho kila kitu kinakuwa kinajitosheleza?
Kuna maswali mengi sana, lakini jibu ni Ubinafsi, Ufisadi, Ukilaza na Kutokukaa chini na kufikiria namna ya kuwasaidia wananchi. Viongozi wamezoea kusoma reports na kusaini anaenda bar anakunywa kidogo huyoooo nyumbani, kesho yake hayo hayo bila kujiuliza hivi hii njia wanayotumia kuongoza inasaidia kwa kiasi gani!! They never question about the efficiency of their workers. No, we need to change!!
 
Labda serikali inaridhishwa na hali kama hii... wananchi wanateseka lakini hawasemi kuhusu mateso yao
 
aah ok...kumbe vitanda havinunuliwi kwa sababu hakuna nafasi so ni bora wagonjwa ambao tayari wana maumivu makubwa bado walale kwenye sakafu...safi sana nimependa sera zenu kidumu chama chenu!!
Tafadhali mkuu, tusitakane ubaya, chama cha nani?
 
tatizo ni nini? hao wagonjwa si wanahudumiwa? kufurika kwa wagonjwa ni kawaida, ombi ni hao maDr wawahudumie hapo ni Muhimbili au mlitaka kila mgonjwa awe na chumba chake?
iko siku Serikali itaongeza Mahosipital na sio kuongeza vitanda mahali ambapo pameshajaa wagonjwa.
Naomba waandishi waende wakatizame km wagonjwa wanapata matibabu? (Drip hata vidonge)
 
sisi WANANCHI NDO CHANZO CHA YOTE HAYA MANA TULISHINDWA KUISHINIKIZA SERIKALIIWAJALI MADAKTARI NA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA, tunavuna tulichopanda liwalo na liwe
 
Kulazwa chini wagojwa ni ya siku nyingi sana, tatizo hawataki kuongeza hospitals na vifaa. Tunan'gang'ania Muhimbili tuuuu. Hospitali za Wilaya (Temeke, Mwananyamala na Ilaa) hazipewi uwezo interms of vifaa na watumishi. Hii serikali ni dhaifu sana. Sijui kwa nini mnapenda kuichagua, aghrrrrr!
 
Kulazwa chini wagojwa ni ya siku nyingi sana, tatizo hawataki kuongeza hospitals na vifaa. Tunan'gang'ania Muhimbili tuuuu. Hospitali za Wilaya (Temeke, Mwananyamala na Ilaa) hazipewi uwezo interms of vifaa na watumishi. Hii serikali ni dhaifu sana. Sijui kwa nini mnapenda kuichagua, aghrrrrr!
Kuna huduma ambazo lazma uende Muhimbili.
Tiba ya mifupa kwa mfano, tiba ya ubongo lazma uende Muhimbili.
Na inaonekana ni makusudi wagonjwa hawatibiwi.
Hizi ni wodi za upasuaji.
Hakuna dokta wa kupasua japo wanakuja kazini,
au japo wanapasua, ni kwa kusuasua mmoja kwa siku anapasuliwa alafu wanalazwa wagonjwa kumi.
Hebu tuone hali baada ya wiki mbili
 
Jamani waandishi wa habari,
Hebu thibitisheni habari hizi kwa umma wa watanzania.
Nendeni mpige picha zenu, video,
M-hoji wagonjwa,
ikiwezekana na ndugu zao
na uongozi wa Hospitali kwani tuliwashuhudia sikuchache kwenye TV wakijigamba kuwa huduma zimerejea kama kawa!
Tupate ukweli.
Watanzania wanakufa,
watanzania wanakuwa vilema.
Tutakuwa nchi ya misiba na vilema.
 
attachment.php
View attachment 59714
Wagonjwa wamelala chini kwenye korido inayotoka nje ya jengo la SewaHaji
Sasa hii hali inakokokwenda baada ya mda si itahitajika mahema nje ya wodi!
 
Back
Top Bottom