Junius
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 3,181
- 139
Mkuu,Kiboko ya zote inaitwa "tanaka",ukilambishwa hiyo ndugu zako wote unawaona kama kituo cha Polisi!
Mimi kwa hii "tanaka" tu Bukoba sendi.
Ha!ha!ha!
Mkuu,Kiboko ya zote inaitwa "tanaka",ukilambishwa hiyo ndugu zako wote unawaona kama kituo cha Polisi!
Hizi sio hadithi za hekaya ni mambo ambayo yapo kabisa in reality na yana mifano hai. kama unaamini kuwa kuna limbwata basi ndio shuntama yenyewe
Wataalamu wa shuntama
Nenedeni bukoba hata na wa asia na wazungu wamelewa wanawanawake wawili moja muasia/mzungu mwingine mhaya je nani anabishi sasa.
Ukiwauliza wasema moto moto tikisa viungo maji(katerero).
Ni Bala shuntama yafanya kazi.
Wanaotaka kujo huko uhayani state mjihadhari BE CAREFULL MAN Utataka tu.Ukitaka cha ............. sharti .......................
Du!
Mkuu Rwegoshora karibu jamvini. Naona hii ni post yako ya 1 na umeamua NTOKE VIPI na SHUNTAMA.
Karibu tufurahi na kupeana changamoto.
Hii Shuntama na Ogende Ugaruke inapatikana vipi au inatengenezwa vipi?
hakuna dawa ya mapenzi
but watu wanapotafuta alternative way sio kwamba wanatafuta dawa ya mapenzi....
dini zote zinatufundisha vitu kama mikosi.laana,bahati,baraka na kadhalika
sasa sometimes watu wakiachwa huhisi kuna mkosi hivi..
kwa hiyo wanachojaribu kukifanya ni kutafuta dawa za mkosi au kuondoa laana hivi na sio dawa za mapenzi
hii huwatokea sana wanawake.....
Kwahiyo mkuu kuna dawa za kuondoa mikosi au laana
labda nikuulize
wewe unaamini kwenye baraka,mikosi,laana, na kadhalika????????
unaweza mtukana au kumpiga mzazi wako
bila ku feel kuna laana utaipata????????
ukiambiwa kuna nyumba ina mashetani
unaweza kwenda kuishi??????????
Mimi ninaamini kwamba IMANI ni jambo kubwa sana ambalo linampa mtu confidence ambayo bila kuwa nayo ni vigumu kufanikiwa. Kwahiyo mfano kwenye michezo mtu akiamini kwamba wameloga.., ile confidence itamfanya apeform zaidi akiwa na imani kuna nguvu inamsaidia (mfano mzuri vita vya maji maji) mababu zetu ile fikra kwamba risasi zitageuka maji iliwafanya wapigane ambavyo huenda wangekimbia...
Kutukana mzazi wako huku unaamini kuwa laana itakupata (ni kweli itakupata) sababu utakuwa umepunguza confidence yako na kila jambo baya likikutokea utaamini ni sababu ya laana (ila ukiwa chizi ambaye haamini laana huenda isikupate)
Inategemea kuhusu nyumba huenda kuishi kwangu pale kukanipunguzia confidence na nikaanza kuhusisha matatizo ya kila siku ya kawaida na hayo mashetani.., au upepo wa kawaida kama ndio shetani.., na hii huenda ikanipunguzia usingizi wangu mnono
Kwahiyo naona hizi dawa za mapenzi tunaweza kuziita Confidence Booster
Yapi Mkuu...., sisemi kwamba majanga mabaya hayapo.., lakini nachosema hayo mabaya yanatokea sababu ya supernatural powers au ni share ya bahati mbaya kwa kila binadamu..., Alafu issue ya kwamba fulani ana mikosi je ni sababu ya ushetani fulani au ni sababu ya mambo fulani anayoyafanya yanapelekea hiyo mikosi...usiombe yakukute...
Mkuu usiwe mchoyo tupe ingredients... ili tuweze kuifanyia package nzuri na kuwauzia wanandoa...,kuna kitu inaitwa GENDA UGARUKE,
hiyo ukienda lazima urudii,
Kwanini Watu hawaamini kuwa mtu anaweza kupenda kupita kiasi hadi wanadhani kwamba amelogwa...??
Kwanini watu wakiachwa na wapenzi wao wanakimbilia kwa waganga...?, nadhani ingekuwa bora wangemfata yule aliyawaibia mpenzi wao kwa tuition au wapeleleze ni nini anachompatia ambacho wenyewe hawakumpatia (maujanja)
Hivi kuna mwanajamii yoyote humu anayeamini hii issue (au ambae ameshaona hii kitu imefanya kazi...?) Binafsi nadhani hakuna dawa zaidi ya upendo na taking care of your partner..,
Kwa wale wanaojua hii kitu na wana uhakika kwamba inafanya kazi naomba tujuzane ili tui-package vizuri na kuifanyia promotion na marketing ya nguvu na kuiuza nchini pote na kwa wanandoa wote nadhani tutasaidia jamii kwa kupunguza Divorces, na sisi kujitengenezea kipato cha uhakika.
Jamani tuache kuibiwa pesa zetu na kulishana visivyolika.....