Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Nimeu miss sana huu wimbo, naomba ambaye anao auupload, nadhani ni wimbo unaofaa sana katika kipindi hiki.
amimi na wewe ogelea ogelea piga mbizi.....
mpaka kigamboni.....ogelea ogelea piga mbizi.....
sijui ni kina nani wale waliimba....
a
ww preta umeombwa kuupload wewe unakuja na lyrics hlfu hata hujui nani kaimba,si ungeniuliza kwanza.
happy new year kwako na raia wote wa Yaeda.
mimi na wewe ogelea ogelea piga mbizi.....
mpaka kigamboni.....ogelea ogelea piga mbizi.....
sijui ni kina nani wale waliimba....
Nimeu miss sana huu wimbo, naomba ambaye anao auupload, nadhani ni wimbo unaofaa sana katika kipindi hiki.
mimi na wewe ogelea ogelea piga mbizi.....
mpaka kigamboni.....ogelea ogelea piga mbizi.....
sijui ni kina nani wale waliimba....
nadhani atakuwa dr john pombe.
Na ule bomoa bomoa tutajenga kesho pia wameimba wao km vinafanana flani hivi!
maana yake chezea manywele ya underground kisha zama chumvini, unalijua hilo?Nimeu miss sana huu wimbo, naomba ambaye anao auupload, nadhani ni wimbo unaofaa sana katika kipindi hiki.
Kama huna 200 ogelea ogelea piga mbizi hadi Kigambonimimi na wewe ogelea ogelea piga mbizi.....
mpaka kigamboni.....ogelea ogelea piga mbizi.....
*sijui ni kina nani wale waliimba....
Hilo hata mi silijuimaana yake chezea manywele ya underground kisha zama chumvini, unalijua hilo?