maweeeee!,
tutegemee vyeti feki vya kumwaga mitaani sasa
naamini watakuwa na server kama watakuwa hawana basi dhaifu
Jamani ,hivi si kuna tukio kama hili lilitokea miaka miwili au mmoja uliopita na kukaibiwa benzi ya mkurugenzi, laptops na cmuputers, na walinzi tena wakampuni binafsi wakaleweshwa madawa ya kulevya? Hawakujifunza chochote?
walinzi wanapenda kula kula hovyo bila kuzingatia wanapokea chakula kutoka kwa nani
namaanisha wao hufanya kazi kama za ku-verify waliosoma nje n.k, means kama rekodi zimepotea kutakua na udanganyifu mkubwa.TCU haitoi vyeti uko Tanzania ipi??? wanahusika na kuchagua wanafunzi wa kwenda vyuoni tu.
hata yale mabilioni ya epa na rada chadema ilifadhili hili ccm ionekane dhaifu
Hizo ofisi za TCU zimevunjwa na Chadema. Wao ndiyo waliogiza wale vijana kuvamia ofisi hizo na kuiba nyaraka kwa lengo la kutaka kuonyesha kuwa serikali ya Chama Cha Mapinduzi na Rais wake Jakaya Kikwete, ni dhaifu.
Wananchi tutoke barabarani kukilaani chama hiki kwa hatua yake ya kufadhiri wezi: Vyuo vyote nchini vimeshikwa na Chadema – Nape Nnauye.
Ofisi za TCU zimevamiwa usiku wa kuamkia leo na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi. Walinzi wake wamelewa kwa kinachaodhaniwa ni madawa ya kulevya waliyonyweshwa na hadi majira ya mchana huu hawajaamka. Eneo la ofisi liko chini ya ulinzi mkali wa polisi wakati uchunguzi wa tukio hilo ukiendelea.
Source: ITV.
Hivi ofic za TCU police huwa hawalindi? Mi naona kuna umuhimu office nyeti ma cop wapewe kulinda.
Hizo ofisi za TCU zimevunjwa na Chadema. Wao ndiyo waliogiza wale vijana kuvamia ofisi hizo na kuiba nyaraka kwa lengo la kutaka kuonyesha kuwa serikali ya Chama Cha Mapinduzi na Rais wake Jakaya Kikwete, ni dhaifu.
Wananchi tutoke barabarani kukilaani chama hiki kwa hatua yake ya kufadhiri wezi: Vyuo vyote nchini vimeshikwa na Chadema Nape Nnauye.