Ofisi za DECI zavamiwa

Nawahurumia waliopanda mbegu hela. Poleni sana wadau msikonde next time mtavuna zaidi ya hapoila acheni papara ya kuharakia maendeleoyasiyo na dira...

Kuna kamchezo kengine kanaitwa PUFDIA (People United For Development In Africa) ambapo sasa wana ofisi kibao pale jijini Dar, Wanadai ukishatoa kiingilio cha alfu ishirini utajiletea maendeleokadha wa kadha ikiwemo kusomesha wanao hata level ya boarding hata ujenzi wa shule na nyumba yako halafu wanao watu wa mfano ambao wameshaanza kuvuna. Wameandikisha watu wengi sana ukiwauliza mbona wafaidika si wengi, wanasema kwamba bado lengolaidadi ya wanachama 30,000 halijafikiwaila likifikiwa baaasmavuno yanaanza sawia. Ukitoa ada ya alfu ishirini utawajibikakuchangia kwa kila category unayotaka uwezeshwe. Inaendeshwa na kuratibiwa na viongozi wa dini ya kikristo nchini na wanasemani kwa ajili ya watu wote ingawa kule Uganda ni kwa ajili ya wakristo tu, na wana scheme ambayo haina tofauti sana na DECI ingawa wamejipaka rangi nzuri ili waonekane wakombozi halisi.

Sijui nao wanasubiriwa wakishaivisha mbegu zije kung'olewa na akina mkullo??
 
Ni heri serikali ilivyoingilia kati na kuokoa maelfu zaidi wasiingie katika mtego huu. Otherwise ingekuwa kiama
 
Hapana bwana kwa kiasi fulani Serikali imesaidia kufa kwa taasisi hiyo maana baada ya habari ile kutoka ndio ukawa wakati mgumu kwa DECI!!

Kaulize wakuambie hayo mavuno yalikuwa yanatoka wapi? Ule ulikuwa mnara wa babeli. Ulikuwa unakaribia wakati wa kuporomoka! Serikali walichofanya ni kuingilia baada ya kuona unayumba, halafu watu wanazidi kuingia!

Serikali ingeacha hali kuendelea na kuachia mnara ubomoke wenyewe, wangekufa wengi na madhara yangekuwa makubwa kuliko unavyofikiria. Upatu is death baba.
 
Taarifa zilizotufikia na kuthibitishwa na magazeti ya jioni Viongozi wa DECI wamekamatwa usiku wa manane na kusweka lupango.
Hawa wezi wakishirikiana na wafanyakazi wao wamehamisha hela nyingi na kuzificha tume ya manumba wabaneni p......hao viongozi watasema wameficha wapi hela mikoani ndio balaa wameficha hela nyingi za wadanganyika
 
Kuna kamchezo kengine kanaitwa PUFDIA (People United For Development In Africa) ambapo sasa wana ofisi kibao pale jijini Dar, Wanadai ukishatoa kiingilio cha alfu ishirini utajiletea maendeleokadha wa kadha ikiwemo kusomesha wanao hata level ya boarding hata ujenzi wa shule na nyumba yako halafu wanao watu wa mfano ambao wameshaanza kuvuna.
Walishakuja mabosi wao toka US, Mkuu wa wilaya alikwenda kwenye function ya kuzindua shughuli zao na akawa mgeni rasmi... asije na yeye siku moja akaanza kuruka kama mkulo anavyoiruka deci ...lol...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom