Kirikou Wa Kwanza
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 3,564
- 1,989
Unaishi Unguja ipi Yakhe!
Yakhe, mimi si ishi Unguja wala Pemba, nimeuliza tu kwa nini Pemba?
Unaishi Unguja ipi Yakhe!
Habari za hivi punde zinasema kuwa ofisi za CCM Pemba zimechomwa moto na nyumba za wafuasi wa CCM kupigwa x.
Kiongozi wa CCM kutoka kisiwani humo amewataka wafuasi wa chama hicho wawe watulivu hadi tarehe 20 Machi ambapo watalipiza kisasi kwa kuipa CCM ushindi wa kishindo
Chanzo: Radio Uhuru
Imeandikwa hivi:Yakhe, mimi si ishi Unguja wala Pemba, nimeuliza tu kwa nini Pemba?
Vituko vya wana CCM huwezi kutana navyo popote duniani zaidi ya LumumbaMambo ya Zanzibar eti hayamuhusu Rais wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ilhali kura zilikuwa zinamuhusu.
Kichekesho cha namna yake hiki!!!
Sahau ccm lazima itawale.uchaguzi utarudiwa na watakao choma moto watakionaHaya, pemba manyunyu yameanza! ccm mvua ya mawe! ngurumo na radi yaja! mjiandae kisaikolojia kukabidhi madaraka!.
Sababu zipo ila waliofanya uhuni ndio wanaokataakila mtu mwenye busara anajua dhairi kwa uamuzi huu wa kurudia uchaguzi Zanzibar lazima damu itamwagika maana hakuna sababu za msingi kurudia uchaguzi
Haya ndiyo matatizo makubwa ya viongozi wetu.Habari za hivi punde zinasema kuwa ofisi za CCM Pemba zimechomwa moto na nyumba za wafuasi wa CCM kupigwa x.
Kiongozi wa CCM kutoka kisiwani humo amewataka wafuasi wa chama hicho wawe watulivu hadi tarehe 20 Machi ambapo watalipiza kisasi kwa kuipa CCM ushindi wa kishindo
Chanzo: Radio Uhuru
Kama sisi-em walishinda uchaguzi inamaana wapo wengi ukilinganisha na CUF hii ina maana kwamba ukichukua CCM ukajumlisha na Police znbr ukajumlisha na serikali ya tanganyika watakao umia zaidi ni wapinzani.
Na moto upo pale pale kutafuna vya ccm, hulioni hilo?Uchaguzi uko palepale hakuna cha kuzuia.
Yakhe ndo kunkucha huku, Ati jogoo hawiki mara mbili usi amke.Kweli Pemba wameamua