Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
It's fire... Dready got a job to do....
Mungu atuepushe na ugaidi,I love Tanzanian
panahitajika uchunguzi wa kina , inaweza kuwa mbinu ya mazombie ili kuuhadaa ulimwengu , kuamini taarifa za ccm unatakiwa uwe na roho ngumu sana !Habari za hivi punde zinasema kuwa ofisi za CCM Pemba zimechomwa moto na nyumba za wafuasi wa CCM kupigwa x.
Kiongozi wa CCM kutoka kisiwani humo amewataka wafuasi wa chama hicho wawe watulivu hadi tarehe 20 Machi ambapo watalipiza kisasi kwa kuipa CCM ushindi wa kishindo
Chanzo: Radio Uhuru
kwani ule wa OCT 25 ulikuwa na kasoro zipi ? Ha! Ha! Haaa!!! usifanye mchezo na kuangukiwa pua mjomba .Uchaguzi uko palepale hakuna cha kuzuia.
Mtachoma mpaka ikulu kuhalalisha haramu.Uchaguzi uko palepale hakuna cha kuzuia.
jecha na Ofisi yake kuna Ulinzi mkubwa kuluko hata ikulu ya sheini .Ila za wa Zanzibar akina Jecha ziko poa kabisa, na mazombie yao
ccm wamechoma wenyewe kisha wawasingizie CUF ili baadae wakamate watu kibao wakae jela mpaka uchaguzi haramu upiteMungu atuepushe na ugaidi,I love Tanzanian
Zanzibar watu watafungwa na kubambikiwa kesi kwa wingi magereza yatafurika wafungwa waliokaidi amri haramu,Na damu na vilio vya watoto na wanawake watakaopigwa na polisi kushinikiza ccm ibaki madarakani na iwe juu yako na ukoo wako woote,naomba hayo katika jina lake YESU kristo
Na damu na vilio vya watoto na wanawake watakaopigwa na polisi kushinikiza ccm ibaki madarakani na iwe juu yako na ukoo wako woote,naomba hayo katika jina lake YESU kristo
sikio la kufa hata uliweke mafuta ya nazi.Uchaguzi uko palepale hakuna cha kuzuia.
akili kichwani mwako .Kwa nini Pemba? Kila unapofanyika uchaguzi mambo ya ajabu ajabu chanzo chake huwa Pemba, kwa nini kila siku Pemba, Pemba kuna nini mbona Unguja hatuoni hivyo vituko?
Unaishi Unguja ipi Yakhe!Kwa nini Pemba? Kila unapofanyika uchaguzi mambo ya ajabu ajabu chanzo chake huwa Pemba, kwa nini kila siku Pemba, Pemba kuna nini mbona Unguja hatuoni hivyo vituko?
wamesema mambo ya zanzibar hayamuhusu, what a shame??Mm!!kazi imeanza.ngoja tumsikie Maghufuli