Ofisi yapigwa burn!

chetuntu

R I P
Jan 10, 2011
949
109
Habari wadau , nasikitika ofisi yetu (international society) imepigwa burn marufuku kuvisit JF hasa jukwaa la siasa kutumia computer za ofisi. Mkuu wa utawala ameliweka wazi hatua kali za kinidhan zitachukuliwa kwa atakayekutwa live.
 
Habari wadau , nasikitika ofisi yetu (international society) imepigwa burn marufuku kuvisit JF hasa jukwaa la siasa kutumia computer za ofisi. Mkuu wa utawala ameliweka wazi hatua kali za kinidhan zitachukuliwa kwa atakayekutwa live.
Kwani nyie mlikuwa mnaingia jf na kucomment hadharani na kila mtu anakutazama?
Atakuwaje amegundua kuwa mnaconcentrate kwenye Jukwaa lasiasa?
Ofisi za namna hiyo ni za kikoloni mno!...Mtu anataka awatawale kifikra miaka hii?
Too amazing!..
 
Kwani nyie mlikuwa mnaingia jf na kucomment hadharani na kila mtu anakutazama?
Atakuwaje amegundua kuwa mnaconcentrate kwenye Jukwaa lasiasa?
Ofisi za namna hiyo ni za kikoloni mno!...Mtu anataka awatawale kifikra miaka hii?
Too amazing
!..[/
QUOTE]

We vipi? kila kitu na wakati wake,Ya mungu mpe Mungu na ya Kaisar mpe..........

Kama wanapunguza uzalishaji(utendaji) kwa kukaa ktk mambo ya kutembelea JF ni makosa kiutumishi,Fanya kazi kulingana na mahitaji ya ajira yako siyo muda mwingi kuupoteza JF kisa ni uhuru wa maoni.

Mwenye ofisi au mtawala huyo ni mfano wa kuigwa,
Wabongo tunapenda sana starehe,uwajibikaji ziro kabisa
wakisema,mnaleta siasa,tubadilike

byabato
 
Kwani nyie mlikuwa mnaingia jf na kucomment hadharani na kila mtu anakutazama?
Atakuwaje amegundua kuwa mnaconcentrate kwenye Jukwaa lasiasa?
Ofisi za namna hiyo ni za kikoloni mno!...Mtu anataka awatawale kifikra miaka hii?
Too amazing
!..[/
QUOTE]

We vipi? kila kitu na wakati wake,Ya mungu mpe Mungu na ya Kaisar mpe..........

Kama wanapunguza uzalishaji(utendaji) kwa kukaa ktk mambo ya kutembelea JF ni makosa kiutumishi,Fanya kazi kulingana na mahitaji ya ajira yako siyo muda mwingi kuupoteza JF kisa ni uhuru wa maoni.

Mwenye ofisi au mtawala huyo ni mfano wa kuigwa,
Wabongo tunapenda sana starehe,uwajibikaji ziro kabisa
wakisema,mnaleta siasa,tubadilike

byabato

huyu mkuu wa utawala ana mambo yake ye mwenyewe kutwa JF, ni mmoja wa mafisadi hataki watu wapate exposure. Alishindwa kura za maoni ndani ya nambari wani. Kazi inafanyika vizuri.
 
Mimi ofisini kwangu nime-block kabisa during working hours isipokuwa muda wa lunch na baada ya muda wa kazi. Kila ofisi inafanya kulingana na matakwa yake ya kazi. Kuna watu wakiingia JF au kwenye social networking zingine huwa hawatoki, unakuta tabs ziko wazi muda wote kitu ambacho huathiri sana utendaji kazi. Ukifanya tathmini vizuri utabaini karibu robo ya muda wa kazi au zaidi kwa baadhi ya watu unapotea kwenye ku-browse social networking.

Ushauri, ombeni ofisi iwape access muda wa lunch kwa mfano kati ya saa 7 na 8. Mara nyingi ofisi ndio huathirika zaidi kwa kuipandishia internet usage cost na efficiency deterioration.

Think again.
 
hongera sana kila kitu na wakati wake itafika muda utasahau hata kula au kulisha watoto na wanafamilia!

Mimi ofisini kwangu nime-block kabisa during working hours isipokuwa muda wa lunch na baada ya muda wa kazi. Kila ofisi inafanya kulingana na matakwa yake ya kazi. Kuna watu wakiingia JF au kwenye social networking zingine huwa hawatoki, unakuta tabs ziko wazi muda wote kitu ambacho huathiri sana utendaji kazi. Ukifanya tathmini vizuri utabaini karibu robo ya muda wa kazi au zaidi kwa baadhi ya watu unapotea kwenye ku-browse social networking.

Ushauri, ombeni ofisi iwape access muda wa lunch kwa mfano kati ya saa 7 na 8. Mara nyingi ofisi ndio huathirika zaidi kwa kuipandishia internet usage cost na efficiency deterioration.

Think again.
 
Hiyo ni ofisi au jumuia? (International society). Halafu wamejuaje kuhusu jukwaa la siasa?
 
labda nifafanue ofisi yetu tunapata access ya intenet kuanzia saa moja hadi saa nne usiku,ambao sio muda wa kazi . Ni part ya kusocialize, kama kwenda Tv room, Mchana tunakuwa out of network kuchapa kazi.
 
ni uamuzi wa office au kampuni kuamua ni website ipi wafanyakazi,wanafunzi wafungue na ipi wasifungue, ni popote pale duniani,na wala si ukoloni.kama wewe unavyomkataza mwanao asifungue website ya matusi.au kwasababu ni JF?
 
Hiyo ni ofisi au jumuia? (International society). Halafu wamejuaje kuhusu jukwaa la siasa?

ofisi ndani ya hiyo society, jukwaa la siasa sababu wadau hujadili yanayojiri nchini kupitia taarifa za jf, na mkuu wa utawala anapita hapo jukwaani sana ,kwa hyo anajua source yetu na tuko remote sana magazeti baada ya siku 3 hadi 4. Hata radio station ni za nchi jirani.
 
labda nifafanue ofisi yetu tunapata access ya intenet kuanzia saa moja hadi saa nne usiku,ambao sio muda wa kazi . Ni part ya kusocialize, kama kwenda Tv room, Mchana tunakuwa out of network kuchapa kazi.
 
Ni kweli kabisa tuache kutegemea sana vitu vya ofisini tukawa tunachelewesha kazi. JF mara nyingine huwa inanoga sana. Na ofisi nyingi kwa sababu ya social networks wameanza monitoring ya matumizi ya mtandao. Tujiandae tusije kuadhirika kwa kuwa na mobile network
 
Habari wadau , nasikitika ofisi yetu (international society) imepigwa burn marufuku kuvisit JF hasa jukwaa la siasa kutumia computer za ofisi. Mkuu wa utawala ameliweka wazi hatua kali za kinidhan zitachukuliwa kwa atakayekutwa live.

Jaribu kuingia gharama kiasi kwa ajiri ya social networking,tafuta laptop wireless modem now is everywhere hiyo itakuwa powa,au unaona easy kusocialize kwa kuwa hakuna gharama kwako?Hivyo ofisi ikifungwa hatukutani tena Jukwaani mkuu.....Hiyo ni ofisi Heshimu taratibu kiongozi.
 
Habari wadau , nasikitika ofisi yetu (international society) imepigwa burn marufuku kuvisit JF hasa jukwaa la siasa kutumia computer za ofisi. Mkuu wa utawala ameliweka wazi hatua kali za kinidhan zitachukuliwa kwa atakayekutwa live.
Mwambieni mna kipindi kifupi tu chini yake na marafiki zake mafisadi anaojaribu kuwatetea.
Hata hivyo jaama jf inalewesha kabisa kama pombe msiendekeze sana. Tumieni ile sheria ya wanyuaji pombe BAADA YA KAZI.
 
Back
Top Bottom