Shaycas
JF-Expert Member
- Feb 13, 2009
- 906
- 110
Ofisi ya Waziri Mkuu Kitengo cha Maafa wakishirikiana na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania wemekuwa wakitoa tahadhari ya mvua za elnino na kueleza baadhi ya mambo ya kufanya kabla na wakati wa mvua hizo.Tahadhari hizo zimekuwa zikitolewa kupitia vyombo vya habari. Ni vyema wananchi wakachukua tahadhari kabla ya hatari.Je ofisi hizo nazo zinachukua tahadhari gani?
Au ndo kazi yao inaishia kwenye kutangaza tu? JE Taasisi nyingine kama afya wamejipanga vipi na mlipuko wa magönjwa ambao unaweza kutokea?
Je wewe mtanzania mwenzangu unayeishi mabondeni utafanyaje kwani kuishi huko bondeni sio kwamba unapenda,bali ndio hivyo tena.....
Au ndo kazi yao inaishia kwenye kutangaza tu? JE Taasisi nyingine kama afya wamejipanga vipi na mlipuko wa magönjwa ambao unaweza kutokea?
Je wewe mtanzania mwenzangu unayeishi mabondeni utafanyaje kwani kuishi huko bondeni sio kwamba unapenda,bali ndio hivyo tena.....