MELEKIZEDECK
Member
- Sep 25, 2012
- 15
- 0
Kila ifikapo mwishoni mwa mwaka kuna watu wanaoshirikiana na viongozi kutoka ofisi ya serikali za mitaa, salasala mabanda mengi kuwaibia wananchi wa maeneo ya salasala kwa Babu na maeneo mengine.Watu hao hujitambulisha kama wafanyakazi wa TRA, watu hao husumbua wafanyabiashara wa maeneo hayo kwa kuwabebea vitu kama mizani na kvipeleka kwenye hiyo ofisi ya serikali za mitaa salasala mabanda mengi, mara wafikapo huko huwatoza wafanyabiashara fedha bila risiti yoyote. tulijaribu kufuatilia TRA tegete wao wakasema hawalitambui zoezi hilo kwani wao hutoa taarifa hii ilikuwa mwaka jana, na mwaka huu wezi hao wakitumia hiyo ofisi hiyo moja kwa moja walikomba mapesa hayo tena.