Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,463
- 39,929
Alipotangaza alikuwa amemaliza Ni mweshimiwa makamba tu kama kawaida yake inawezekana alikuwa hajasoma katiba ya CCM ili atoe taarifa bungeni.
bingo!!. .. badala ya watu kuelezea kwanini CCM haijatoa taarifa Bungeni kuwa imezidiwa kete na Mpendazoe.. watu wanataka Mpendazoe atafute, ameze.. na ashibe. Makamba na Kikwete kwanini hawajatoa taarifa Bungeni kuwa aliyekuwa mbunge wao amepoteza uanachama..? hili ndilo swali... wengine hawataki kuuliza swali sahihi na hivyo wanapata majibu yasiyo sahihi.