Ninaamini hiyo report imepita mikononi mwa zaidi ya watu kumi. Wasipoitoa kuna siku tutaiona hapa JF.
JK inabidi awe mwangalifu sana, asije akawa kama Karamangi. Karamangi angetoa ile contract yake mapema wala yasingempata haya yanayompata sasa ya kwamba ni fisadi namba moja.
JK ikijaweza kuibua hiyo report na ikaonekana mbaya kuliko JK alivyotuambia, ajiandae 2010 kwa lolote.
Asante mkuu Halisi kwa hilo la Ngowi. Hakukuwa na hata mtu mmoja JF ambaye
alimwelezea huyu jamaa na kazi anazofanya kabla ya wewe leo kuandika majukumu yake.
Mimi kwa kufuata hizo habari nilihisi Ngowi ndiye anasemwa lakini sikuwa na uhakika kama kweli ndiye pia kigogo wa usalama wa taifa. Hapa umesaidia kutupatia the last piece in the jigsaw.
JK inabidi awe mwangalifu sana, asije akawa kama Karamangi. Karamangi angetoa ile contract yake mapema wala yasingempata haya yanayompata sasa ya kwamba ni fisadi namba moja.
JK ikijaweza kuibua hiyo report na ikaonekana mbaya kuliko JK alivyotuambia, ajiandae 2010 kwa lolote.
Asante mkuu Halisi kwa hilo la Ngowi. Hakukuwa na hata mtu mmoja JF ambaye
alimwelezea huyu jamaa na kazi anazofanya kabla ya wewe leo kuandika majukumu yake.
Mimi kwa kufuata hizo habari nilihisi Ngowi ndiye anasemwa lakini sikuwa na uhakika kama kweli ndiye pia kigogo wa usalama wa taifa. Hapa umesaidia kutupatia the last piece in the jigsaw.