Office for rent

FOEL

Senior Member
Jan 19, 2012
141
34
Wakuu, heshima mbele sana.

We are looking for an office of 1 or 2 rooms kwa matumizi ya ofisi, hata kama ni ya kuchangia na wengine tuko tayari pia ku changia.

Iwe maeneo ya Ada Estate, Oysterbay, Masaki, Msasani, Namanga, Block 41, mikocheni A or Mikocheni B.

Asanteni na Mungu mwenyezi awabariki sana.
 
Wakuu, heshima mbele sana.

We are looking for an office of 1 or 2 rooms kwa matumizi ya ofisi, hata kama ni ya kuchangia na wengine tuko tayari pia ku changia.

Iwe maeneo ya Ada Estate, Oysterbay, Masaki, Msasani, Namanga, Block 41, mikocheni A or Mikocheni B.

Asanteni na Mungu mwenyezi awabariki sana.

Yaani hata sisi tunatafuta ofc maeneo hayo ila sasa kila tunapoenda wanatupatia rate za mambo ya per squar metre tena rate za USD mpaka tunatafuta nyumba tuu tuipange
 
Yaani hata sisi tunatafuta ofc maeneo hayo ila sasa kila tunapoenda wanatupatia rate za mambo ya per squar metre tena rate za USD mpaka tunatafuta nyumba tuu tuipange
mambo ya per square meter kwa USD imekuwa ni wizi wa mchana wa wenye majengo ,matokeo yake h\t\ vile vitambaa vya matangazo vimepauka,pale Kawe kwenye corner ya kwenda Msasani Beach Club ukumbi wa Jeshi kuna jengo la Mzee Kilewo panaitwa Knet kuna tangazo la kupangisha ofisi ila sijui terms zake,pia Sinza Mapambano kwa Mwanamboka pia kuna bango la upangishaji ofisi waweza check hapo.Kama alivyosema mdau aheri kupanga nyumba maeneo ya Mbezi beach au Kinondoni inakuwa nafuu kiasi,msione watu wanatumia briefcase office ,yote ni shida ya kupata ofisi kulingana na uwezo wa kijikampuni
 
Yaani hata sisi tunatafuta ofc maeneo hayo ila sasa kila tunapoenda wanatupatia rate za mambo ya per squar metre tena rate za USD mpaka tunatafuta nyumba tuu tuipange

Asante kwa mchango wako mkuu.

Kama utasikia sehemu yoyote maeneo hayo kuna ofisi ya 1 or 2 rooms naomba unijulishe mkuu.

Kazi njema, natumai tutafanikiwa tu.
 
mambo ya per square meter kwa USD imekuwa ni wizi wa mchana wa wenye majengo ,matokeo yake h\t\ vile vitambaa vya matangazo vimepauka,pale Kawe kwenye corner ya kwenda Msasani Beach Club ukumbi wa Jeshi kuna jengo la Mzee Kilewo panaitwa Knet kuna tangazo la kupangisha ofisi ila sijui terms zake,pia Sinza Mapambano kwa Mwanamboka pia kuna bango la upangishaji ofisi waweza check hapo.Kama alivyosema mdau aheri kupanga nyumba maeneo ya Mbezi beach au Kinondoni inakuwa nafuu kiasi,msione watu wanatumia briefcase office ,yote ni shida ya kupata ofisi kulingana na uwezo wa kijikampuni

Mfianchi mkuu wangu, heshima mbele sana.

Asante kwa mchango wako, tutaenda kwenye hizo office haraka iwezekanavyo ili tuone mchakato mzima.

Kazi njema mkuu
 
Wakuu naona kimya, tusaidiane wakuu.

Hizi ndiyo changamoto za ujasiliamali.

Thanks
 
Back
Top Bottom