Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Bashe kama MD ametangaza msibani kuwa mjane ataendelea kupokea mshahara wa mumewe kwa miaka mitano,na dependants wawili wa shule ya msingi na wa chuo wataendelea na masomo kwa hisani ya habari cooperation.
RA anaitaji pongezi kwa ilo
Source :ch ten 19hrs news
RA anaitaji pongezi kwa ilo
Source :ch ten 19hrs news