Kuna jamaa kaweka tangazo lake kwenye gazeti 'Daily New' la leo 05-05-2011 kwenye ukurasa wa 20 akiomba kukopeshwa milioni 35. anamalizia kwa kusema ' the future belongs to the RISK TAKERS, not the SECURITY SEEKERS'
Hivi wanaija nilifikiri wako kwenye net tu kumbe wanashukia mpaka kwenye vyombo vya umma?
Hivi wanaija nilifikiri wako kwenye net tu kumbe wanashukia mpaka kwenye vyombo vya umma?