Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,210
- 113,500
haya Mialiko inazidi kupamba...
Na mimi nasema hivi, Jumamosi tarehe 2 August kuna kitu kinaitwa Caribana hapa T dot (Toronto) huwa wanakuja tourist (African Americans) kama millioni na nusu. Mji huchukuliwa na ngozi nyeusi kwa week nzima, Sunday kuna cruise boat yaani ni kujichana tu..
Sasa nawaomba wale wote ambao hawana matatizo ya Uhamiaji mnakaribishwa sana. Nina hakika Hotel zote mjini huwa zinajaa kwa hiyo nipigie simu mimi mapema nitakuwa mwenyeji wenu.. msiwe na wasiwasi maadam niijue number ya watu watakao kuja..
Karibuni Toronto...mji wa wazaramo (mdundiko)!
Aisee Bob mimi ninatakaja kuja huko T-Dot vacation....ntakutafuta muda ukikaribia....