Natafuta kazi
Member
- May 10, 2012
- 31
- 1
haya jamani baada ya kusubiri sana ajira kwa njia halali sasa natangaza ofa ya pesa japo kiduchu tu kwa mtu atakayefanikisha kupata kazi.
changamkieni fasta wadau. Nasubiria PM zenu
changamkieni fasta wadau. Nasubiria PM zenu