Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 22,050
kama wewe ni muhusika wa walioathirka kwa kunynyaswa kijinsia basi
kuna timu ya wanasheria kabambe wamejitolea ofaa maalum mpaka
mwezi wa tano kuwasaidia bureeeeeeeeeeeeeee kwa maoni zaidi
wasiliana na DINA WA clouds FM ama piga
0787/8 29 55 51
wapendwa tangazo hili limerudiwa sana leo cloud kipindi cha dima marious nikaona yawezekana ni mmoja wa wanaoteseka na wale mijiaanaume MAFIOSO...panda angani namba hizo,..pole sana na kila la kheri!!!
kuna timu ya wanasheria kabambe wamejitolea ofaa maalum mpaka
mwezi wa tano kuwasaidia bureeeeeeeeeeeeeee kwa maoni zaidi
wasiliana na DINA WA clouds FM ama piga
0787/8 29 55 51
wapendwa tangazo hili limerudiwa sana leo cloud kipindi cha dima marious nikaona yawezekana ni mmoja wa wanaoteseka na wale mijiaanaume MAFIOSO...panda angani namba hizo,..pole sana na kila la kheri!!!