kivipi? siku hizi hautakiwi uwe mnoko all the time.. dingi wanoko washapitwa na wakati. nimemjibu jamaa kwenye post za nyuma hukomkuu hata mimi huyu jamaa namweshimu lakini wakati mwingine anakuwa kama mtoto mdogo
Je huoni kuwa kufanya mikutano sasa hivi wakati hilo jimbo liko wazi sio kuvunja sheria?.Je hiyo haitaonekana kama ni kupiga kampeni kabla ya uchaguzi?
NEC wamesema wanamtambua rostam kama mbunge halali coz hawana taarifa zake za kujiuzulu so kwa mantiki hiyo HUWEZI KUPIGA KAMPENI kwenye jimbo ambalo lina mbunge madarakani.So hizo meetings za cdm zinaciz kuwa kampeni!Je huoni kuwa kufanya mikutano sasa hivi wakati hilo jimbo liko wazi sio kuvunja sheria?.Je hiyo haitaonekana kama ni kupiga kampeni kabla ya uchaguzi?
Mkuu haiwezi kuwa OIC operation igunga for Chadema?
Kuna tetesi kuwa RA katia mkono wake kwenye OCI. Cha msingi CDM, tuhakikishe jimbo tunaliweka kibindoni.