Uko sahihi kabisa, risasi haipigi kona, gurudumu lipo mbele na kiti kipo nyuma. Alyepiga risasi yu nyuma ya aliyepigwa risasi.
Itawezekana vipi risasi ipige gurudumu halafu irudi tena kumpiga mtu makalioni!
nakubaliana nawe. mgongaji kakimbia. afisa polisi anamfukuza kwa nyuma nae yuko garini. kafyatua risasi 1 tu. hiyo risasi imepiga gurudumu la mbele. kisha ikamrudia dereva aliyekaa nyuma ya hilo gurudumu! jamani hata lies inabidi viwe na mantiki kidogo, vinginevyo mnajidhalilisha!
Tunaomba kuazima kazi za wapelelezi, labda risasi iliikosa tairi ikaenda kupiga engo ya gari karibu na makalio ya dereva! Kazi wanayo wapelelezi!