OCD ampiga risasi mhadhiri SUA

Uko sahihi kabisa, risasi haipigi kona, gurudumu lipo mbele na kiti kipo nyuma. Alyepiga risasi yu nyuma ya aliyepigwa risasi.
Itawezekana vipi risasi ipige gurudumu halafu irudi tena kumpiga mtu makalioni!



nakubaliana nawe. mgongaji kakimbia. afisa polisi anamfukuza kwa nyuma nae yuko garini. kafyatua risasi 1 tu. hiyo risasi imepiga gurudumu la mbele. kisha ikamrudia dereva aliyekaa nyuma ya hilo gurudumu! jamani hata lies inabidi viwe na mantiki kidogo, vinginevyo mnajidhalilisha!



Tunaomba kuazima kazi za wapelelezi, labda risasi iliikosa tairi ikaenda kupiga engo ya gari karibu na makalio ya dereva! Kazi wanayo wapelelezi!
 
:grouphug::mod::A S-rose:Hongera OCD huo ndiyo uzalendo,hata kama siyo kituo chako cha kazi,ukiona uhalifu chukua hatua mtuhumiwa akiresist use reasonable force hiyo ndiyo falsafa ya usalama ,hata ungeua hakuna shaka kuliko kuacha mtuhumiwa aende untouched:A S-rose:

hiyo ni falsafa ya usalama wa nchi gani? ninavojua mimi, polisi hatakiwi kutumia nguvu kubwa kupita kiasi ili kumdhibiti mtuhumiwa, huyo polisi alifanya vizuri kumfatilia mtuhumiwa lakini kufyatua risasi alifanya kosa, it's unproffessional! jaribu kufikiria kama lile gari lililogonga lingekuwa ni taxi na wewe ni abiria halafu dereva anakimbia baada ya ajali halafu polisi anafyatulia gari risasi kwa kulenga tairi la mbele na gari
linapinduka na wewe abiria unajeruhiwa au kufa kwa ajili ya upumbavu wa huyu polisi, itakuwa ni busara hiyo? hata kama mwenye baiskeli naye afe baada ya ajali bado kitendo cha polisi huyo kitakuwa ni cha kipumbavu, na vipi ikiwa mwenye baiskeli akinusurika huku wewe abiria ufe au dereva wa taxi afe au wote! ni upumbavu tu! na una uhakika gani kama sababu ya ajali ni uzembe wa dereva wa gari au ni makosa ya mwendesha baiskeli yaliyoshidwa kuepukika? it's a traffic case! madereva wengine huwa wanakimbia baada ya ajali kwa kusalimisha maisha yao kutoka kwa wananchi wanaochukua sheria mkononi na baadae huenda kuripoti polisi.kupiga risasi ya 'maajabu' iliyopasua tairi la mbele na halafu ikamwingia dereva matakoni ni makosa na ni vigumu kuamini!
 
OCD hakutakiwa kutumia silaha kumpiga Mhazili kwa sababu mhazili alikuwa anakimbia kipigo toka kwa watu baada ya kumgonga mwendesha baiskeli. OCD baada ya kumwona mgonga baiskeli na gari lake akikimbia angetumia taratibu za kikazi kuwasiliana na wenzake huku akimfuatilia hadi wanapoweka kizuizi, na hapo taratibu nyingine zingefanyika. La sivyo vyombo vya usalama havitumii mbinu za kikazi na sheria za usalama wa raia. Katika tukio hili OCD hakutakiwa kutumia nguvu ya silaya ya moto ila mbinu za kiusalama kumsimamisha kwa kuwasiliana na polisi wengine ambao wako mbele ya barabara anayokwenda mhalifu.
 
habari hii ina walakini sana, kwanza sua wenyewe wanakanusha lecturer wao kupigwa risasi, pili sua hawana kitengo cha sanaa, sasa huyo mtu anahusishwa vipi na sua. by the way inasemekana ma-ocd wote wapo moro kwa semina.
 
how come risasi itoke kwenye tairi hadi makalioni? Huyo kamanda alikuwa kwenye engo gani alipokuwa akipiga hiyo risasi?
Hata mimi najiuliza mara mbilimbili sipati jibu, namna gani risasi ipasue tairi then iende makalioni.... mmh!
 
Kulenga risasi tairi ya mbele mpaka kupiga makalio, inawezekana tu kama huyo mhadhiri alikuwa anaendesha bajaji.
 
morogoro ulivyo mji mdogo,angechukua namba ya gari tu isingetosha?akili matope,si ajabu victim aliachwa hapo akafukuzia gari!ndo akili za polisi wetu,angeweza kuua wapita njia 3 wakati anamlipua huyo prof wa watu!
 
Mimi pia hapa sijapaelewa, tairi ya mbele na makalio!


hahaaa halafu hawa nao hivi kwa nini wasiseme tu kuwa kapigwa risasi matakoni!!! makalio ndo nini?mbona hata magoti yameweza kuwa makalio kwenye mambo yetu yaleeeee
 
habari hii ina walakini sana, kwanza sua wenyewe wanakanusha lecturer wao kupigwa risasi, pili sua hawana kitengo cha sanaa, sasa huyo mtu anahusishwa vipi na sua. by the way inasemekana ma-ocd wote wapo moro kwa semina.

hivi ile degree ya BA iko kitengo gani au sanaa ni mpaka wafundishe kucheza ngoma za gombe sugu na mganda?? au wafunze mambo ya kuigiza ka akina kanumba?
 
morogoro ulivyo mji mdogo,angechukua namba ya gari tu isingetosha?akili matope,si ajabu victim aliachwa hapo akafukuzia gari!ndo akili za polisi wetu,angeweza kuua wapita njia 3 wakati anamlipua huyo prof wa watu!


we morogoro mchana ndo inaonekana ndogo aliini usiku kubwa kama ilivo mombasa na lamu...ushanifahamu king'asti?
 
:grouphug::mod::A S-rose:Hongera OCD huo ndiyo uzalendo,hata kama siyo kituo chako cha kazi,ukiona uhalifu chukua hatua mtuhumiwa akiresist use reasonable force hiyo ndiyo falsafa ya usalama ,hata ungeua hakuna shaka kuliko kuacha mtuhumiwa aende untouched:A S-rose:

I hope hili likurudie wewe siku moja. No one is safe baby
 
OCD ni mtu wa usalama, huyo jamaa hakupaswa kukimbia! Hii stori imekaa kimtego sana, na maelezo tunayoyapata humu ni ya hearsay, mpaka hapo tutaposikia kauli ya huyo mwalimu na OCD mwenyewe (mahakamani). Huenda ticha ni mkosaji na OCD ni mwanausalama hivyo hapaswi kufuma macho mhalifu anatimua, ama huenda kuna ishu nyingine pasono kati ya wawili hawa!

Nahisi wewe ndo OCD mwenyewe na unatetea urojo. OCD mwanausalama badala ya kusoma namba ya gari na kumsadia aliyegongwa anaamua kumtwanga shaba mwenye gari: huyu OCD hayuko ethical. Kumbuka pia kuwa hapa tz ukipata au kufanya ajaari unakuwa kitoweo cha MASELA so inabidi ukimbie ili ukatoe yaarifa polisi. Hapa ni kwamba hatuna OCD,bali ni muhuni.
 
Kwa nyongeza tu mkuu: na vipi kama muendesha baiskeli alitumia barabaravibaya?!kisha muendesha gari akahukumiwa kifo!
hiyo ni falsafa ya usalama wa nchi gani? ninavojua mimi, polisi hatakiwi kutumia nguvu kubwa kupita kiasi ili kumdhibiti mtuhumiwa, huyo polisi alifanya vizuri kumfatilia mtuhumiwa lakini kufyatua risasi alifanya kosa, it's unproffessional! jaribu kufikiria kama lile gari lililogonga lingekuwa ni taxi na wewe ni abiria halafu dereva anakimbia baada ya ajali halafu polisi anafyatulia gari risasi kwa kulenga tairi la mbele na gari
linapinduka na wewe abiria unajeruhiwa au kufa kwa ajili ya upumbavu wa huyu polisi, itakuwa ni busara hiyo? hata kama mwenye baiskeli naye afe baada ya ajali bado kitendo cha polisi huyo kitakuwa ni cha kipumbavu, na vipi ikiwa mwenye baiskeli akinusurika huku wewe abiria ufe au dereva wa taxi afe au wote! ni upumbavu tu! na una uhakika gani kama sababu ya ajali ni uzembe wa dereva wa gari au ni makosa ya mwendesha baiskeli yaliyoshidwa kuepukika? it's a traffic case! madereva wengine huwa wanakimbia baada ya ajali kwa kusalimisha maisha yao kutoka kwa wananchi wanaochukua sheria mkononi na baadae huenda kuripoti polisi.kupiga risasi ya 'maajabu' iliyopasua tairi la mbele na halafu ikamwingia dereva matakoni ni makosa na ni vigumu kuamini!
 
Waandishi wa habari hii vipi, mbona haina muendelezo!!!!!! Aliyegongwa na gari hali yake ikoje hadi sasa?
Mgonjwa aliyepigwa risasi hali yake ikoje mpaka sasa, je atapelekwa lini mahakamani kwa kosa la usalama barabarani kama lipo?
Mwisho wa yote askari aliyejeruhi raia atapelekwa lini mahakamani kwa kosa lililo dhahiri na kwa nini hajapelekwa mahakamani mpaka leo, is he immune from prosecution?

Tuache uandishi wa kutegemea government handouts na press conference za ofisi za polisi mikoani, tuchunguze habari tuzifuatilie habari mpaka mwisho wake.
 
Hapana hakustahili kupigwa risasi. Pengine kosa halikuwa lake. Alikimbia kwa hofu tu maana dereva akigonga hata kama sio kosa lake wananchi humshughulikia vilivyo dereva. Wengi wanaokimbia eneo la tukio hujisalimisha polisi baadae. Sikubaliani nawewe. Wangepiga risasi gari tu. Huyo polisi alilenga kumpiga mkufunzi na hii si haki. Fikiria ungekuwa wewe ndio yule mkufunzi!!!
Yaani huyu lecturer kamgonga mfanyakazi wa hospitali ambayo baadaye ilimuadmit kwa matibabu.
Mi nadhani amestahili kutiwa risasi ya matakoni kwa sababu hakuwa muungwana baada ya kumgonga mpanda baiskeli.
 
Back
Top Bottom