sekulu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 988
- 157
tatizo wabongo wanajifanya wana hasira,ukigonga ukakaa watakupiga,kuna watakaochukua vioo vya sight,pochi,simu e.t.c.so sometimes ni beta kukimbia
Kaka Hiyo avatar yako inafaa sana kwa siku hizi tena huyo alompiga mwenzake kwenye makalio zinatakiwa kumfikia, Matumizi mabaya ya rasilimali za taifa!