Ocampo aomba kupeleleza ghasia Kenya

Ng'wanza Madaso

JF-Expert Member
Oct 21, 2008
2,268
333
Ocampo aomba kupeleleza ghasia Kenya


home271109_01.jpg

Mwendesha mashtaka mkuu wa mahakama ya kimataifa, Luis Moreno-Ocampo, anasema kuwa amewaomba majaji wa mahakama hiyo ruhusa ya kuanzisha upelelezi kuhusu ghasia za mwaka jana nchini Kenya baada ya uchaguzi mkuu.

Takriban watu elfu moja waliuawa katika ghasia hizo ziliozuka baada ya Rais Mwai Kibaki kutangazwa kuwa mshindi wa Uchaguzi mnamo Desemba mwaka 2007.

Upinzani ulidai kura ziliibiwa katika Uchaguzi huo.

Akizungumza na BBC Bw Ocampo amesema kuna sababu za kimsingi kuamini kwamba raia walitendewa maovu na vitendo vilivyokiuka haki za binadamu.

Kwa hiyo ikiwa majaji hao watalikubali ombi lake atakwenda Kenya kukusanya ushahidi kwa kuwasaili watuhumiwa na pia mashahidi na hapo ndipo wataamua kama kunastahili kufungua kesi ama la.

Ocampo alifafanua kuwa hawajibiki kutekeleza maelezo kuhusu orodha ya majina ya watuhumiwa ambayo ilikuwemo ndani ya bahasha aliyokabidhiwa mapema mwaka huu akisema hayo ni maoni ya wajumbe wa tume iliyochunguza mauaji hayo.

Yeye inampasa atoe uamuzi wake mwenyewe.

Source:BBC
 
guys whoever has come across with the names of govenment officials who are in the list of Ocampo, please make it open to all members,

note: JF "where we dare to talk openly"
 
guys whoever has come across with the names of govenment officials who are in the list of Ocampo, please make it open to all members,

note: JF "where we dare to talk openly"


Waki envelope names could be out in a fortnight, says Mutula


Updated 8 hr(s) 42 min(s) ago

By Maseme Machuka

Kenyans may know the contents of the Justice Phillip Waki's envelope in the next 14 days.

Justice Minister Mutula Kilonzo said Kenya was entering into "a landmark period" with the ICC Chief prosecutor's take up of the Kenyan situation.

Moreno Ocampo is expected in the country in December.

Mr Mutula spoke as the German Government expressed optimism Kenya will co-operate when the names are made public and hand over the suspects with the greatest responsibility to the ICC.

German ambassador to Kenya Margit Hellwig-Boette said she was confident the Government would cooperate with the ICC.

Strong case

Last week, Moreno Ocampo said he has a strong case against a number of people for crimes committed during post-poll violence. Mutula said Moreno Ocampo had assured the world Kenya would be made an example on the prosecution of cases.

"When Ocampo starts his work, we will know the contents of the envelope," said Mutula as he opened an international Justice Radio Workshop on the role of journalists in restoring lasting peace through proper reporting.

http://www.standardmedia.co.ke/InsidePage.php?id=1144029349&cid=4&
 
ICC is the only way to steer Kenya away from the garden path. The talk about the local tribunal is just a take in to woodwink the international community into believing that justice will be done but it is just a farce. No wonder the AU does not support the ICC because most of AU leaders know that is where they belong; ICC
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom