SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,903
Yaani wewe unaona Bush na Ford ni mifano? Kama Obama anaiga Bush na Ford basi tuombe mungu atunusuru maana nchi inateketea. Ningeleewa kama ungetoa mifano ya maraisi waliofanikiwa kama Clinton, Regan n.k siyo hao wapuuzi kama Bush na Ford.
JFK and JFK Jr.
Same desk
Same office
Yaani wewe unaona Bush na Ford ni mifano? Kama Obama anaiga Bush na Ford basi tuombe mungu atunusuru maana nchi inateketea. Ningeleewa kama ungetoa mifano ya maraisi waliofanikiwa kama Clinton, Regan n.k siyo hao wapuuzi kama Bush na Ford.
SHERRIF ARPAIO:
Pres. Richard Nixon and aides playing golf in the oval office
Ulikuwa wapi Bush akiweka miguu juu ya meza usiongee lakini kaweka mmatumbi mwenzio ndio imekuwa big deal?
Hayo matatizo ya kucopy & paste.... hayo maneno hayatakiwi kutoka kwa mtu mweusi au mwafrika sembuse mtanzania!.... what the hell do you mean OUR DESK?
Unfortunately, so did Reagan, Carter, Nixon, Ford, GW and Clinton.Sikuwa mwanachama wa jamiiforums wakati wa Bush. Kwa hiyo huwezi kuniuliza swali hilo. Na nimeshasema Bush naye ni raisi mchovu aliyeharibu uchumi. Kama unafikiri mimi ni mshabiki wa Bush basi umepotea stepu.
He pay taxes too!.. lol what a joke!Our = taxpayers. Desk ni mali ya uma siyo mali raisi.
Mimi kwanza pointi yangu siyo ya desk. Pointi yangu ni jinsi Obama hayuko makini kwenye kazi. Wewe kwanza jiulize kama Kikwete angepigwa picha kama hizi watu wangesemaje? Hata wewe mwenyewe kama bosi wako anajibweteka bweteka ungeona vipi?
Propaganda at work. Kwangu mimi hata akiukosa urais kwa mara ya pili lakini Obama amepunguza kwa kiasi kikubwa kiburi cha wamarekani weupe. Wapumbavu sana hao na ndiyo maana wameanza kampeni mapema ili kumwondoa.Siyo picha tuu hata ukiangalia schedule yake ya kazi utaona Obama ni mvivu. Anaingia kazini saa 5 asubuhi anatoka saa 10 jioni. Yaani kazi imemshinda huyu jamaa. Angalia official schedule yake hapo chini uone jinsi jamaa alivyokua mvivu.
President's Schedule - May 29 to June 4, 2011 | The White House
Propaganda at work. Kwangu mimi hata akiukosa urais kwa mara ya pili lakini Obama amepunguza kwa kiasi kikubwa kiburi cha wamarekani weupe. Wapumbavu sana hao na ndiyo maana wameanza kampeni mapema ili kumwondoa.
Pres. Nixon in oval office